Mkoa Tanga, Wilaya Tanga, kata mabawa B, mtaa Mikanjuni B, eneo maarufu makuburini mwisho, Jana nimeripoti Tatizo kuwa nyumbani kwangu umeme haupo( haufiki kwenye Mita) kutokana na loose connection kwenye nguzo ya Tanesco. Aidha, nimepewa reference number 5217413, hata hivyo mpaka sasa...
Jina: Shabani Kawina
Eneo: kata msongola, mtaa wa mvuleni
Namba ya simu: 0763531628/0783349834
Kero: Tanesco Emergency Kisarawe kutofika kurekebisha nguzo iliyochimbika chini kutokana na athari za mvua. Aidha, tangu mvua za mwezi oktoba, 2020 mpaka Desemba, 2020 kuna nguzo imechimbika na Hali...
Mrejesho: Nawashukuru sana Tanesco nimepata huduma ya kufungiwa nyaya na Mita mnamo tarehe 02.08.2019. Nawapongeza kwa kufanyia kazi kero za wananchi kupitia Jambo Forum.
Thanks
Jina: Shabani Mtonga
Eneo: Mtaa wa Mvuleni, kata ya Kitonga, Wilaya ya Ilala Mkoani Dar es Salaam
Tatizo: Nililipia UMEME tarehe 18.03.2019, wiki mbili zilizopita nimeletewa nguzo 2 na kuahidiwa mnamo tarehe 27.07.2019 ningeletewa mita na kufungiwa nyaya za UMEME lakini mpaka Sasa bado huduma...
Kiongozi...Nina Toyota Voltz WD with automatic transmission, ilikuwa na leakage kwenye mfuniko wa Engine Kwa juu. Fundi ameziba leakage. Baada ya kuziba leakage ameenda kusafisha Kwa kutumia pressure water...From that gari ukiwasha inawasha taa ya check engine...Pia muda mwingine inazima kabisa...
Za Kazi KIONGOZI, naomba kujifunza, nina Toyota Voltz yenye 4WD with automatic transmission. Ni muda Gani/ gear ipi 4WD inatumika au all the time? Thanks.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.