Recent content by Regina1

  1. R

    VIDEO: UKAWA Wazuiliwa Kushiriki Cocktail Party; Ni Baada ya Kutimuliwa Bungeni

    uongo mtupu watu kwa nini mnakuwa waongo? Ili iwasaidie nini?
  2. R

    Operation toroka uje yakwama

    Hakuna kitu kama hiki ccm wameanza kujihami waongee kwenye vyombo vya habari ndo tuwaamini hapa Lowassa ndo mpango mzima Hela zetu mzifishe Swiss mnaomba kura Twiga wetu wameisha Loliondo wamepakiwa kwenye mandege ya waarabu
  3. R

    Godbless Lema na Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Arusha wakamatwa na Polisi kwa kuandamana bila Kibali

    Huo ni uonevu Ila 25 October patachimbika Mafisadi nyie mmetufanya maskini wa kutupwa Mmeifanya nchi hii kuwa ya watu wachache wenye nacho Sasa basi enough is enough we need change
  4. R

    Lowassa must be ashamed of himself. Anna Mghwira kamzidi kutawala jukwaa!

    Hata wazungu wanatuelewa tulivyo hatujielewi Kuongea muda mrefu ndo nini? Kuna maanisha ndo mtu ana uwezo Ndo maana hata darasani watu wanaojieleza sana hawajiamini kabisa Inabidi aleze mambo mengi angalau ambulie mark moja au mbili Wazungu walisema na bado wanaendelea kusema hatujielewi Embu...
  5. R

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    haahha kweli watz kwa uongo hatujambo weka facts ivi kweli ingekuwa hivyo nchi zima ingerindima Vyomba vya habari vingeshika kasi ya ajabu Picha zingerushwa mitandao yote ya kijamii
  6. R

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Mafisadi maccm tokeniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tupisheniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Leo tunashindwa kufanya maendeleo ya hii nchi kwa sababu ya maccm Mafisadi walarushwa nendeni kuzimu after 25 October
  7. R

    Kadi ya mpiga kura - Hakiki taarifa kupitia simu yako

    Umeenda kuangalia wapi? Ni mkoa gani upo wewe? Mimi nilipiga *152*00# nikaambiwa number yangu haipo Tusaidiane maana hali ni mbaya
  8. R

    Yusuf Manji amekatwa kura za maoni za udiwani kupitia CCM

    Chama kinapokata roho........................... Mungu ibariki Tanzania mpya
  9. R

    Zama za Lowasa zilisha pita sisi tunasonga mbele

    Toka hapa Umetumwa mafisadi maccm imetuacha tumekuwa wanyonge kwenye nchi yetu Nchi yenye asali na maziwa mmeiuza kwa waarabu wanyama wetu mmewapa wachina Wachina wamekuwa wenyeji kwenye nchi yetu kisa madhambi yenu mmeyafanya wenyewe huko china Watanzania ndo wanaolipia adhabu tusikubali...
  10. R

    Dr. Slaa hatimaye aibuka

    Ivi huyu Dr anaipa au kusaidia nini CHADEMA kama sio kujikopesha mihela kibao Tusonge mbele mwachani
  11. R

    Mazishi ya Mzee Kisumo kijiji cha Ngujin Usangi, Alhamisi Tarehe 13 Agosti, 2015

    Kazi kweli kweli angekuwa mzee wa kaya angerudishwa? Hao policcm wajue wanatakiwa kuwatumikia wananchi wote na sio maccm wenyewe
  12. R

    Mtaji mkubwa wa CCM katika kampeni na chaguzi zake

    Hizo laptop na hela ni za wananchi yeye atazipata wapi? Mccm mafisadi bwana Kwa hiyo anakuja na strategy ya Kenya Copy and paste from Kenya watz bwana kazi tunayo
Back
Top Bottom