Watanzania umefka wakati wenu sasa wa kufungua macho na kujua nini mfanye, haya mambo ya U-CCM na U-CHADEMA yasije yakapoteza amani ya taifa letu, kwani hao wanaogombania majimbo nao pia hawana lolote jaman tuwakatae na kuwapinga wabunge wote wa hivyo kwani majukumu kwao sasa yamekuwa magumu...
Lema pamoja na wapelelezi wa mjini arusha wanatakiwa kuwa makini katika mambo yanayoendelea jijini hapo, pia askari police waache kuhongwa wawe na uzalendo kazin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.