Recent content by redelymo

  1. R

    Kila mwanamke anayekuja kwangu hana kazi, kwanini?

    inshort we ni bahili...maisha kusaidianaa....inawezekana huyu unayemuona anakusumbua umsaidie ipo siku atakuja kuwa msaada kwako...pesa maua kaka....ukiwa unampa mtu kituu usilalam.ike unless amezidisha matumizi na kuomba ile hadi kero lakin unajua kabisa hana kazi please help...ndo...
  2. R

    Nimempa mimba, ananichukia hataki hata kuniona

    its bse of pregnancy..... muelewe tu
  3. R

    Sometimes kumweka msichana friendzone kuna raha yake

    Yaniii sijaelewa ulichoandika kabisaa....so yo enjoying .....utakosa mke wewe...endelea na ujinga wako tuuu....kuna siku utamchase mkee
  4. R

    Upweke unanipenda na mimi naupenda pia

    Yanii hakuna lolotee...kuna mtu piaa alisema hivyo kumbe anakula katoto ka watu kisiri..jaman life is full of happiness ...en.joy the last minutes of your life
  5. R

    Mrembo wangu hanisaidii kazi akija nyumbani

    Hiv unafikiri wanawake wamewekwa kuwa punda.. kulaaa umlee...badoo unataka kila kitu afanye ukutee haata hela yaf poda humpi....embu huko
  6. R

    Kwanini isitafutwe suluhu badala ya kuachana?

    Kuna ugomvi mwingine au kuna situation inafikia hakuna suluhu nyingine zaidi ya kuachana
  7. R

    Am not materialistic but I still can't keep a man

    What about your attitides ..yo might not be materialistically but may be yo too much complaining or having some characteristics which push them away
  8. R

    Nimemsaliti mchumba wangu, nimueleze au nitunze siri hii?

    Dont dare tel him anything nduguu....mwanaume kusamehe sahau...tubuu..keep it to yo self
  9. R

    Kunywa maji mengi

    Umezidisha kiafyaaa
  10. R

    Hivi ni kwanini mabinti wanapenda sana wanaume waliosoma UDSM?

    He hehe he etii UDSM.....sema wanapenda hela...hata ungesoma havard kama hela hauna utabaki na chuo chako...blazaaaa
  11. R

    Msaada: Nahitaji kuzaa na mume wa mtu ambae mkewe hajazaa nae tangu wafunge ndoa mwaka 2001

    Madam never take someone's man...maana huyo mwanaume hashindwi kuona mwingine and ukafanyiwa the same thing
  12. R

    Nilimtelekeza mke wangu, nimerudi nimekuta rafiki yangu kamuoa

    Boraa ukosee kitu kingine lakin sio kuchagua mume au mke......
Back
Top Bottom