Huyo ni mwanachama hai wa ccm sasa anaogopa wasije kumuumbua kwa madhambi yake.wapo viongozi wawili wa kidini nchini ambao wapo chini ya CCM.polycarp pengo na mufti wa bakwata simba ambaye naye anaogopa kuumbuliwa.wanakula raha kwa mgongo wa ccm.
Wanaomkashifu mh.lowassa sasa wanaonekana waziwazi wametumwa na nani.angalia picha ya mbele gazeti la mtanzania la leo.wadhamini wa sitta kugombea uspika bunge la katiba.Yupo hamisi na PAUL MAKONDA.huyu makonda hivi majuzi tu ndiye aliyemkashifu lowassa na kutoa kejeli nyingi dhidi yake.kumbe...
Sisi wakazi wa morogoro tunawapongeza kwa dhati Abood media kwa kutuonyesha live mechi ya yanga na alahly.tunawashukuru sana kwa kuwa tulibaki majumbani na kuangalia mechi na familia zetu.
Sisi wakazi wa morogoro tunapenda kuwapongeza kwa dhati kabisa uongozi wa Abood Media kwa kutuonyesha live mechi ya yanga na alahly LIVE kutoka misri.ingawa tumeshindwa lakini tumeiona mechi bure majumbani mwetu tena kwa HD .asanteni sana.
Nawaombeni sana viongozi wa juu chadema waamue kukitoa chama chao katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la chalinze.sababu ni kuwa wakimweka mgombea wao sijui ataweza vipi kushindana na mtoto wa rais,kamanda mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama,mteuzi wa viongozi wote wa takukuru,tume ya...
Jamani muwe na ubinadamu na utu.hivi bila ya kumtaja na kumsimanga lowasa hamna raha.lakini sababu ipo wazi ni kwa kuwa ameusimamia UKRISTO kwa nguvu zote.
Bwana aitwae ridhwan j kikwete ambaye pia ni mjumbe wa UVCCM ameshaanza kampeni za chini kwa chini jimbo la chalinze.je kamati ya maadili itakuwa na ubavu wa kumfungia?
huyu aliyeandika taarifa hii si mchambuzi wala mjuaji wa mambo ya siasa.kata yenyewe ina wakazi wapatao 3000 waliojiandikisha na watakaopiga kura hawatozidi 1800 sasa mangula kupata watu 100 ni sawa kabisa.mkutano wa mbowe ulikusanya wakazi wote wa manispaa.moderators wa jamii forum muangalie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.