Recent content by RED Xs

  1. R

    Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

    ..lol..nashukuru kaka..tutaendelea siku ingine na mjadala wetu..nimebanwa na pilika..insha allah ramadhani njema..!
  2. R

    UVCCM: CUF ni wapinzani hatari wa Muungano

    ...kwanza, la kwanza..uvccm ktk suala la kuutetea muungano, umedoda..!..pili uvccm unatakiwa uwe ndo jicho la chama..! bado haujajua ukweli wa matakwa ya wengi juu ya serikali tatu? haujajua kiu (iliyo wazi kabisa) ya watanganyika kuwa na serikali yao ya tanganyika? uvccm haujajua namna...
  3. R

    Sitta: Uganda, Kenya, Rwanda waizidi kete Tanzania!

    ...kama ni hivyo basi tuna hasara ya muda tu..akitoka madarakani, mr dhaifu, biashara mwendo mdundo, au akiingia mwengine madarakani ktk rwanda na uganda...lkn ni iwapo ni iwapo tu, matumizi yao ya bandari yetu ya dar yalikuwa na manufaa zaidi kiuchumi na si " kumfurahisha so called, mr dhaifu"
  4. R

    Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

    ..ama labda sijaelewa..kwambamarco polo anasema "zanzibar wakaazi wake ni ni " weusi 'awana'(?) nywele za singa.." kama ni kweli hiyo inajitosheleza na ukweli wa uafrika wa zanzibar...lkn kuna jambo lingine moja..! muarabu, anakuwa muarabu kwanza.. sababu ya lugha..! ndo maana msiria au...
  5. R

    Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

    .....ashakhum.....wangazija pori maanaake nini kakaangu? mbona unakuwa na kauli kama za watu wa tabia ya "kijinsia ya elton john"...? ulianzia mwanzo wakati nilipozungumzia ubaya wa matumizi ya silaha bila kujali nani anaitumia? bila kujali kama ni jambazi, polisi, wapigania uhuru, wa...
  6. R

    Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

    ..umefatilia mjadala wangu na kaka yangu bin faza toka mwanzo au unarukia tu...!
  7. R

    Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

    ...unazungumzia jambo la kuja kwetu tabora na iringa..tuwekane sawa..mi mzaznibar pia..mngazija...si mshirazi wala si mwarabu..alhamdullillah..lkn nawehishim na nawapenda washirazi na waarabu..! lkn naupenda zaidi ukweli..!na ikitokea baadhi ya wazanzibar wakataka kwenda iringa au tabora au...
  8. R

    Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

    ...miongoni mwa dhambi ya wageni wote waliokuja afrika ni pamoja na kupindapinda ukweli, mfano huo wa ati "zanzibar hapakuwa na maisha rasm"...lol..lugha ya wakoloni wote ilikuwa hivyo..!..unasema mshirazi na mwarabu si watu wa mbali..swadakta..je mwafrika na mwarabu? hapa ishu ni ukoloni wa...
  9. R

    How the Rwandan embassy in Tanzania recently kidnapped FDRL top commander

    ...lkn kwa nini kuna interpol? umeshawahi jiuliza? kwa nini nchi zinakubaliana na kusaini mikataba ya makubaliano ya kubadilishana wahalifu? umeshawahi jiuliza?.....tanzania kweli kwa kiasi kikubwa ina jali haki za binadam, na kwa kiasi kikubwa pamoja na mapungufu yake yote ya kiuongozi ina...
  10. R

    Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

    ...kaka historia inatufundisha kuwa miongoni mwa wakoloni waliokutana mwaka 1884 huko berlin ujerumani ili kugawana afrika sultan wa oman alikuwa mmojawapo....!yeye alipewa viswa vya zanzibar na kilomita kumi za mraba kutoka pwani kwenda bara..! ktk pwani yote ya afrika mashariki..! ..ni...
  11. R

    Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

    ...kaka we una chuki na watanganyika na ni chuki ambayo itaishia kukupakijiba moyoni....hivi ni siri kwamba waafrika na washirazi walifanya mapinduzi? hivi ni siri kwamba umma party ilikuwa na makada wengi ambao walikuwa wamepewa mafunzo cuba kwa ajili ya kuja kuikomboa nchi yao na kuifanya...
  12. R

    Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

    ....inasikitisha..lakini lazima ukweli useme...matokeo ya matumizi ya silaha siku zote huwa hayana heri, na mara zote muhanga wanakuwa ni wanyonge ktk jamii..watoto, wanawake, na vikongwe..hiyo si kwa zanzibar tu, lkn kila mahali ambapo watu waliamua kutumia silaha, hilo limetokea...!lingine ni...
  13. R

    How the Rwandan embassy in Tanzania recently kidnapped FDRL top commander

    ....watuhumiwa wote wa mauaji ya kimbali ambao wanakamatwa sasa wanakabidhiwa kwa serikali ya rwanda kufuatia kufutwa kwa sheria ya adhabu ya kifo nchini rwanda...! suala la kuteswa, linataka ushahidi ..lkn vp kuwafanyia haki muhanga wa mauaji ya kimbari? suala la siasa safi na uongozi bora (na...
  14. R

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar SMZ yataka Wazanzibari wanaoishi Bara wasitishwe

    ...tutajifunza kutoka kwa kaka na dada zetuwa sudan ...
  15. R

    Prof Lipumba adai rasimu ya katiba mpya inaiminya Zanzibar

    ....tanganyika lazima iwe na tahadhari.. watanganyika wanaotumiwa na "wageni" kufaidi raslimali za tanganyika ni wengi na wa kada mbalimbali.."wasomi na viongozi wa kidini" ni miongoni mwa wanaotumiwa....!..nina shaka kama tafsiri ya ufisadi na mafisadi inaeleweka vizuri miongoni...
Back
Top Bottom