Nimetafakari andiko lako nikaona nishare haya maswali kama muongozo ktk kuelekea usaili wa TANROAD kwa watakaochaguliwa nafasi ya afisa MIZANI (WEIGHBRIDGE OFFICE -II)- TANROAD.
Sioni sababu ya mama kutoshnda kwa kishindo 2025 na ikizingatia hata vyama vya upinzani kikiwepo Chadema tayari wamekosa agenda za msingi na kubaki wanalilia kupewa nafasi ya kuzungumza katika misiba.
Watanzania tunaojitambua tunafahamu kuwa haya ni mapito na rais wetu atatuvusha kutoka hapa. Kikubwa ni kuendelea kuwaombea viongozi watu wafanyekazi kwa bidii kwa ajili ya watanzania
Lakini binafsi sioni sababu ya CDM kufanya maandamano ikiwa Tanzania yetu ina amani, huduma za kijamii zinaboreshwa licha ya changamoto ndogondogo zinazokwamisha jitihada hizo lakini bado Rais Samia S. Hassan amebaki kuwa kipenzi cha watanzania.
Chadema wanawapotosha watanzania kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.