Tanzania hii kwasasa ukishapata elimu ya msingi inatosha kabisa english utajua2 kama harmonize, ukiingia ufundi au sanaa fulan nadhan unatoboa zaidi, kuliko kukaririshana utopolo wa class kwa ajil ya mtian then unapokuja kuitim chuo, unaambiwa kajiari.🔊🔊🔊🔊
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.