Dawa ya kuzuia kipara (uwaraza)

Dawa ya kuzuia kipara (uwaraza)

Chukua kitunguu maji then kisage au kisugue kwenye kile cha sugulia nyanya... Halafu kichuje kwenye chujio then jipake sehemu unayota iote nywele... Au unaweza ukapaka bila kuchuja lakn kitunguu huwa na tabia ya kung'ang'ania kwenye nywele kikikauka kwaiyo kama haita kusumbua basi poa.. Kaa nusu saa then jisafishe na maji.. Ila kama harufu itakusumbua ya kitunguu unaweza osha na shampoo.. Pia kama utakua na muda mwingi unaweza paka ukaa nayo hata siku nzima au masaa kwa week unaweza paka mara moja Kwa week ila haina limitation unaweza paka hata kila siku..

After two weeks come with feedback... & 100% it will be +
does this really work?
 
Mkuu kuna mafuta yanaitwa Castro oil unapaka na mafuta yanaitwa lavender. Hataka kama una kipara basi nywele zitaota tu. Lakini hayo mafuta nunua 100% pure
hayo mafuta ya lavender yanapatikana wapi mkuu
 
Mkuu kuna mafuta yanaitwa Castro oil unapaka na mafuta yanaitwa rosemary. Hata kama una kipara basi nywele zitaota tu. Lakini hayo mafuta nunua 100% pure
yanapatikana wapi?
 
Alafu watu wenye upara naskia kwa kupiga show huwa wapo vyema Maana hormones zinakuwa za kutosha
 
Chukua kitunguu maji then kisage au kisugue kwenye kile cha sugulia nyanya... Halafu kichuje kwenye chujio then jipake sehemu unayota iote nywele... Au unaweza ukapaka bila kuchuja lakn kitunguu huwa na tabia ya kung'ang'ania kwenye nywele kikikauka kwaiyo kama haita kusumbua basi poa.. Kaa nusu saa then jisafishe na maji.. Ila kama harufu itakusumbua ya kitunguu unaweza osha na shampoo.. Pia kama utakua na muda mwingi unaweza paka ukaa nayo hata siku nzima au masaa kwa week unaweza paka mara moja Kwa week ila haina limitation unaweza paka hata kila siku..

After two weeks come with feedback... & 100% it will be +
Ya kweli haya mkuu?
 
Chukua kitunguu maji then kisage au kisugue kwenye kile cha sugulia nyanya... Halafu kichuje kwenye chujio then jipake sehemu unayota iote nywele... Au unaweza ukapaka bila kuchuja lakn kitunguu huwa na tabia ya kung'ang'ania kwenye nywele kikikauka kwaiyo kama haita kusumbua basi poa.. Kaa nusu saa then jisafishe na maji. Ila kama harufu itakusumbua ya kitunguu unaweza osha na shampoo..

Pia kama utakua na muda mwingi unaweza paka ukaa nayo hata siku nzima au masaa kwa week unaweza paka mara moja Kwa week ila haina limitation unaweza paka hata kila siku..

After two weeks come with feedback... & 100% it will be +
Aliye jaribu hii atupe mrejesho jameni
 
Back
Top Bottom