Recent content by Rebson sanga

  1. R

    Jamani vyuo vya kilimo

    samahani wana jf nilikuwa naomba kujuzwa jinsi ya kutuma maombi vyuo vya kilimo vilivyopo miko ya mwanza,arusha na moshi jamani msaada wenu
  2. R

    Kilimo jamani

    jamani kuna rafiki yangu mmoja anataka kujiunga na vyuo vya kilimo kakini hajui jinsi ya kuweza kufanya hvyo pamoja na qualification vyuo vya serikali msaada jaman <thanx>
  3. R

    Diploma june/july

    arusha tech www.atc.ac.tz
  4. R

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    haraka haraka bhana haina baraka
  5. R

    kuvurugwa kubaya

    Mental prblm
  6. R

    Arusha techncal college

    jamani kama kuna mtu yeyote anayeenda kufanya mtihani wa mature age hapo chuoni tuwasiliane 0764625417
  7. R

    Msaada wenu kuhusu hili

    kwa mfano chuo kipi mbona sivifahamu
  8. R

    Msaada wenu kuhusu hili

    habar? samahani wana jf ninaomba kujuzwa jinsi ya kutuma maombi ya kujiunga na vyuo vya kilimo kwa mtu aliyehitimu kidato cha nne na qualification zake
  9. R

    Schoolarship za China na kulipa Mkopo wa HESLB

    ni hiher education student loan board(yaani ni bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu)
  10. R

    naomba mtu wa NECTA aje atoe huu utata

    hyo kwl ni point 26 bro coz c ni point 4 na b ni point 3
  11. R

    naomba mtu wa NECTA aje atoe huu utata

    brother uko very comptent kwny kufkilia mambo big up sana bro hebu 2one wenye nchi watasemaj
  12. R

    Kwa anayejua kuhusu hili

    jaman wanajf kwa anayejua jinsi ya kujiunga na vyuo vya kilimo vya serikali kwa mtoto aliyetoka o- level anaweza kunisaidia hapa.
  13. R

    Mtemi Ng'wanamalundi (Mwanamalundi) - Yesu wa Afrika?

    endelea kumuabudu mbona umeshakubari kusema ni yesu wako.
Back
Top Bottom