jamani kuna rafiki yangu mmoja anataka kujiunga na vyuo vya kilimo kakini hajui jinsi ya kuweza kufanya hvyo pamoja na qualification vyuo vya serikali msaada jaman <thanx>
habar? samahani wana jf ninaomba kujuzwa jinsi ya kutuma maombi ya kujiunga na vyuo vya kilimo kwa mtu aliyehitimu kidato cha nne na qualification zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.