Hakuna tofauti kwenye speed kwa kuzingatia kuwa speed hupatikana baada ya kugawa time taken kwenye distance travelled. Kitakacholeta utofauti ni kwamba V8 itatumia muda kidogo sana kufikia hiyo speed ya 80km/h kwasababu ya engine capacity kuwa kubwa wakati passo itatumia muda mrefu kufikia speed...
Pole,
Kwanza hakikisha unaweka utaratibu wa kunywa maji mengi hasa asubuhi (yakiwa ya vuguvugu itapendeza)
Pili, Chukua maji vuguvugu glasi moja changanya na magadi,Vitunguu swaumu pamoja na limao. Kunywa siku tatu asubuhi na jioni.(Katika hiki kipindi chote usile mzigo)
Tatu nakushauri uache...
Pole Mkuu,
Mimi pia nliwahi pitia hii changamoto tena kwangu mtoto alikua na miezi nane tu, Tulichofanya mtoto aliachishwa kunyonya lakini pia tukamtenganisha kulala na mama yake kwani ilionekana kuwa mama yake anajoto jingi sana linaloweza kumuathiri mtoto. Alhamdulillah watoto wote wamekua na...
Salaam wakuu,
Nahitaji gari ndogo kwa ajili ya matumizi na mizunguko midogo midogo hapa mjini Dar es salaam. Napendelea zaidi Spacio, Premio, Allex, Runnex, Raum, Ractic na Rumion.
Bajeti yangu ni TZS 6M. Tuwasilisane kupitia namba 0622078182.
Kinachosumbua hao watumishi ni kufanya kazi kwa mazoea, Fuko ni miongoni mwa wahandisi wasiopenda kuona mambo yao yakienda vibaya (Kazi chafu) Na mara nyingi havumilii kuona mtu akifanya kazi vibaya au tofauti na utaratibu. hapo mtagombana sana. Sasa sisi wabongo hatupendi kuonywa hata kama...
Na bado mwaka huu mtakufa na njaa, Mlizoea kupiga dili, sasa hivi mrija umekatwa.Mwaka huu evaluation imefanyika kwa weledi wa hali ya juu sana. Kama mlikua mmekopa mkitegemea kulipa wakati huu mmekwama,
Acheni Majungu, Fanyeni kazi, Fuko anapiga sana kazi yule jamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.