dealkubwa
Senior Member
- Jul 1, 2020
- 144
- 588
Kikombe kidogi ni kikombe cha chai au cha robo itakua una matatizo ya kutokujua mambo very comon kama kijiko cha chakula kibaba na nkKwahiyo kumbe ni bora kula madawa ya kemikeli za hospitali?
Kikombe kidogi ni kikombe cha chai au cha robo itakua una matatizo ya kutokujua mambo very comon kama kijiko cha chakula kibaba na nkKwahiyo kumbe ni bora kula madawa ya kemikeli za hospitali?
Hili la H.I.V ni la kweli ndugu msaada tafadhaliWatu wanabisha ila mitishamba pia wengine wanapona hadi hiv/ukimwi cha msingi imani na kumuomba Mungu
Ulitoa sh. Ngapi kiongoziPoleni sana
Nilikutwa na huu ugonjwa, na nikaambiwa n Chronic na ilinipasa kuwa nafanyiwa monitoring kila baada ya miezi sita
Nimeenda kuponea kwa Mwamposa,
Kaka kwa MUNGU YOTE YANAWEZEKANA
Kaka nisaidie ndugu yako kama hutojali na Mungu atakubarikiKikubwa ni kunywa asubuh kabla hjala ktu unakaa nusu saa ndo unakula.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kaka ujumbe wangu umeuona kakaKikubwa ni kunywa asubuh kabla hjala ktu unakaa nusu saa ndo unakula.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app