Recent content by Real64

  1. Real64

    Precision Air Sasa Ni Kama Dala Dala?!. Ndege Yasubiri Abiria Uwanjani!.

    Usilinganishe nchi za ulaya na africa kule kuna hali ya juu ya uwajibikaji na huku kwetu ni kuteteana hata kama mtu ana boronga.
  2. Real64

    CAF wawe wakali, wanayofanya hawa waarabu sio mpira tena

    Kwa hiyo yule refa hamnazo kwa kuamua kusimamisha mchezo kwa ajili ya moshi?Tupunguze unazi wajameni
  3. Real64

    Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

    Inaweza kuwa U.T.I hiyo
  4. Real64

    Kusafiri gari moja na watu wa jamii ya kifugaji ni kero

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  5. Real64

    Kuna mtu anaenda Tabora kesho nikuchangie!

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  6. Real64

    Shirika la ndege la Precision lisimamishwe haraka kuruka anga la Tanzania kabla ya madhara makubwa kutokea

    Umeongea vizuri sana,katika suala la biashara Precision wanaijua biashara ila ATC kiukweli ule userikali na kila mtu kujiona ana mabawa kunawaharibia sana.
  7. Real64

    Tusipangiane, hata wewe unaweza kwenda Ulaya kupitia shughuli unazofanya

    Yupo sahihi,baadhi ya watu wanawapa hawa wachezaji presha kubwa sana bila kujua ni nyakati gani wanazipitia.
  8. Real64

    DAS Singida ataka waandishi wa Habari wapeleke CV zao ofisini kwake

    Aeleze kwanza anazitaka za nini?Bila hivyo anazusha maswali mengi kwa waandishi na jamii kwa ujumla.
  9. Real64

    Mama wa kambo kashaniendea mara mia moja kwa waganga wa kienyeji ili Mzee asinijali, anisahau

    Pole sana kwa unayopitia,Mungu akuongoze akuongoze katika hili
  10. Real64

    Askari wa kike kwenye maofisi hasa mabenki, ni dhaifu mno!

    Huyo askari nae kapewa utaratibu na benki wa kutobugudhi wateja,utamlaumu bure kabisa.
  11. Real64

    Ukishiba usisahau wenye njaa

    Ukiwa kwenye mfumo au nje ya mfumo na una connection, huwezi kuona umuhimu wa baadhi ya sheria kufanyiwa marekebisho. Ukiwa kwenye mfumo ni rahisi kuwafahamu baadhi ya watendaji walio katika sekta mbalimbali vivo hivyo ukiwa nje ya mfumo na una connection ndani ya mfumo ukiwa na shida yoyote...
  12. Real64

    Hivi inakuwaje mwanadamu mwenye akili timamu anakaa ofisini kuwafanyia watu kazi kwa zaidi ya miaka mitano?

    Vitu vingine kukaa na kubishana ni kupoteza nguvu tu,acheni mtoa mada aamini anachoamini...na kumbuka hachangii hata theluthi katika kuendesha maisha ya walioajiriwa.Waajiriwa chapeni kazi mzidi kusonga mbele.
  13. Real64

    Hivi kwanini wanaume wafupi hawapendezi?

    Ngoja niwaite wafupi wenzangu waje waone
  14. Real64

    Watu wa Morogoro kwanini mnapenda sana kujieleza?

    Watu wafupi tunapenda sana sifa
Back
Top Bottom