Mbona mnafiaga watu ambao hawasitahili mnawaacha wanaostahili.
Barabara ya Nyahua-Chaya imejengwa kwa mkopo kutoka kuwait Fund ambao ulutafutwa na Kikwete. Na mipango yote ya ujenzi wa barabara hiyo iliachwa na Kikwete.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Wewe ndiye mpuuzi namba wani!
Kasome ripoti ya cag ujue mafisadi halisi! Bila shaka na wewe ulikuwa mnufaika wa ile serikali iliyokuwa inafanyia kazi zake gizani!
Hii nchi imejaa wapumbavu wengi z sana!
Ulitaka raisi akae hotel ya uswahilini huko new York?
Halafu nyie washamba mnateseka sana for nothing. Hapa Tanzania tu kuna hotel zina bei kubwa kuliko hiyo. Kuna ubaya gani?
Ushamba tu na roho mbaya zinawasumbua! Humiyo gharama kwa hotel kubwa ni ndogo mno! Hapa Tanzania tu kuna hotel zina bei kubwa kuliko hizo. Sijui mnaishi mapori gani hata hamna habari.
Wewe ndie shabiki ambaye huelewi lolote!
Kama una elimu halafu hujui kwamba mwendazake alikuwa na fiksi na takwimu za kupika.. ulienda tu shule...hukupata kuelimika.
We jamaa mweupe kabisa! Hujui lolote kwenye viwanda umekalia kuimba mapambio tu na sound za Mwendazake.
Five star printers ya Masumini ipo kitambo kabla ya Magu. Jambo Food ya Salim Mbuzi wa Shinyanga ipo tangu wakati wa Kikwete. Huyo gas security service ndio nini sasa? Hakuna kiwanda kinaenda...
Huyu kanjanja pasco anasumbuliwa njaa na ukabila tu. Hana lolote la maana. Kwa jinsi alivyidhalishwa na yule kiongozi dhalimu kutoka kabila lake siku ile alipomuuliza swali usingetarajia aje awe chawa wake! Ni ukabila tu unamsumbua
Nyinyi wapambe wa mwendazake mnaweweseka sana. Watanzania sasa hivi wanafuraha ana amani. Mtanzania gani anatamani tena kutawaliwa kama ng'ombe? Mtanzania gani anataka tena maisha ya kutekwa na kuuwawa?
Hatutaki tenaa nchi hii kuongozwa na watu wa kaliba ya Magufuli. Hatutaki kuongozwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.