Recent content by Reagan Carima

  1. Reagan Carima

    Mahusiano ya Kimataifa

    Tusijadili tena kisiasa basi Wandugu lets just be real tutetee Taifa na sio vyama vyetu mbona ni simple tu?
  2. Reagan Carima

    Mahusiano ya Kimataifa

    Inahuzunisha sana.
  3. Reagan Carima

    Mahusiano ya Kimataifa

    Hivi hakuna wakati wanasiasa wanaweza kuongea kama Watanzania wakaachana na vyama vyao kwanza? Inanishangaza sana masuala nyeti kama ushirikiano wa Kimataifa watu wanayajadili kwa mtazamo mmoja wote kisa tu ni chama fulani. Kuna mfano wa Taifa gani ambalo limewahi kupiga hatua kwa kugombana na...
  4. Reagan Carima

    Ujenzi: Nimefanya uchunguzi kwanini watu wengi wanashindwa au kuchelewa kuwa na kwao

    Haimaanishi kuwa kujenga nyumba ndogo lazima iwe ya kiwango cha chini.
  5. Reagan Carima

    Ujenzi: Nimefanya uchunguzi kwanini watu wengi wanashindwa au kuchelewa kuwa na kwao

    Kiwanja ni 20 kwa 30 Nyumba ni 2 Bedrooms (Kimoja master), Sebule na sehemu ya jiko ya kishkaji tu ndogo.
  6. Reagan Carima

    Ujenzi: Nimefanya uchunguzi kwanini watu wengi wanashindwa au kuchelewa kuwa na kwao

    Wakati tukiendelea na majadiliano napenda kuwapa mrejesho kama mleta mada hii. Kama mnavyoona kwenye picha hiyo ndio nyumba ambayo nilianza kujenga na sasa nimefikia stage hiyo. Mpaka hapo unapoona sina popote nilipoathirika hasa kibiashara na uchumi kiujumla na hiyo yote ni sababu nilimaua...
  7. Reagan Carima

    Majukumu ya familia

    Ni kweli Mkuu! Kutokana na mahitaji ya familia huwezi kuweka bajeti ikawa constant hivyo labda kwa mbinu nyingine Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Reagan Carima

    Ukweli mchungu: Kama wazazi wako hawakuwekeza kipindi ukiwa mtoto nyakati hizi utaziona ngumu sana

    Urithi pekee unaoweza kumsaidia mtoto ni ikiwa wazazi walikupeleka shule, wakafundisha kuishi na watu kwa hekima na busara. Mengine ni madogo tu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Reagan Carima

    Majukumu ya familia

    Katika familia zetu desturi iliyopo ni kuwa baba ndie msimamizi wa issue zote hasa masuala ya kifedha. Tumezoea kumuona mama akimuomba baba pesa kwa ajili ya mambo fulani either yake binafsi, watoto au familia nzima. Hii desturi binafsi sioni kama ina manufaa hasa kwa mustakabali ya familia...
  10. Reagan Carima

    Mtazamo upoje kuhusu ajira?

    Ikiwa umeridhika sio mbaya Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Reagan Carima

    Mtazamo upoje kuhusu ajira?

    Yeah lakini kama una uwezo wa kutengeneza zaidi ya hiyo kwanini usifanye hivyo? Maana calculate kodi, usafiri, malazi, dharura utakuta unasave kiasi kidogo sana au husave kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Reagan Carima

    Ujenzi: Nimefanya uchunguzi kwanini watu wengi wanashindwa au kuchelewa kuwa na kwao

    Hapana vyumba ni viwili Boss Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Reagan Carima

    Sababu za kushindwa biashara

    Nimepata wasaha wa kuingia kwenye tasnia ya biashara na kwakuwa mimi ni kijana bado basi nimetumia muda wangu kufanya tafiti mbalimbali juu ya biashara. Leo nataka kuzungumzia suala la biashara kufeli. Watu wengi wamekuwa na ndoto ya kumiliki biashara lakini kwa namna moja au nyingine...
  14. Reagan Carima

    Ujenzi: Nimefanya uchunguzi kwanini watu wengi wanashindwa au kuchelewa kuwa na kwao

    Hicho hapo mama Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom