Recent content by REAGAN C.MABOGO

  1. R

    Viongozi wa dini, wametuuza waumini wao kwa Shetani kwa kuwa hatujaona msimamo wowote wa kiroho madhubuti wa pamoja kuhusu suala la Uviko 19.

    Dini zipi? Za wazungu na wayahudi (ukristo), za waarabu (uislam) au za waafrika? Na kwani kuna dini yenye kiongozi au una maanisha viongozi wa makampuni (mazehebu) ya yenye mwelekeo wa hizo dini.?
  2. R

    Kiingereza cha Waziri wa Elimu Profesa Ndalichako akiwa MUHAS. Inasikitisha

    Mtanzania anatakiwa aongee kingereza ili aeleweke tu. Ni ujinga kuzani au kutaka kufanana na mwingereza au mmarekani. Hata mzungu asingemcheka ilimradi kamuelewa
  3. R

    Hawa wote hawalipi KODI hapa Tanzania

    Mafundi simu, saa, nyumba, pikipiki,nk. Mama wauza matunda, mboga, na kila mwenye biashara yoyote. Na waliopanga kwenye ardhi za uma bila kulipia kama mabarabarani nk. Kila mtu alipaswa kulipa kodi kwa kila faida anayopata.
  4. R

    TCRA: Kati ya Watoa Huduma Mtandaoni 86 walioomba usajili, ni mmoja tu aliyekidhi vigezo

    Watamsaka kama wanavyohangaika bila mafanikio kuwapata members wa jf.
  5. R

    TCRA: Kati ya Watoa Huduma Mtandaoni 86 walioomba usajili, ni mmoja tu aliyekidhi vigezo

    Yenye .tz ndiyo itanyooshwa. Wenye .com, .net itaendelea tu wanune wacheke.
  6. R

    Ni swala la muda tu kabla watu hawajasema dada yule wa Ughaibuni aliona mbali

    Wasioelewa waeleshwe kuwa kuna hatua imepigwa
  7. R

    Katibu mkuu wa Chadema Dr Mashinji yuko live Star tv akichuana na kada wa CCM mzee Bituro

    Kama ni kweli Mashinji umekubali kwenda kujibizana na watu wa level hiyo umejidharirisha. Siyo saizi yako huyo.
  8. R

    Rais Magufuli azindua magari 181 ya kusambazia dawa ya MSD

    Magari tu! Mbona ni jambo la kijinga unalotuletea?! Yaani watu tuache kazi tukaangalie magari.! Mshauri atubu badala ya kutuletea upuuzi.
  9. R

    Je Dr. Shika atakua ameingizwa mkenge staili ya wa Nigeria?

    We mkuu sijui tatizo lako nini?! Mi nimekuomba useme kama umeelewa! Usiogope unapoeleweshwa. Elimu haina mwisho!
Back
Top Bottom