Dini zipi? Za wazungu na wayahudi (ukristo), za waarabu (uislam) au za waafrika? Na kwani kuna dini yenye kiongozi au una maanisha viongozi wa makampuni (mazehebu) ya yenye mwelekeo wa hizo dini.?
Mtanzania anatakiwa aongee kingereza ili aeleweke tu. Ni ujinga kuzani au kutaka kufanana na mwingereza au mmarekani. Hata mzungu asingemcheka ilimradi kamuelewa
Mafundi simu, saa, nyumba, pikipiki,nk. Mama wauza matunda, mboga, na kila mwenye biashara yoyote. Na waliopanga kwenye ardhi za uma bila kulipia kama mabarabarani nk. Kila mtu alipaswa kulipa kodi kwa kila faida anayopata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.