mkuu hyo biashara ni nzuri lakin inahitaji kujua aina ya raba nzuri na kw mm ninavojua ili uweze kupata faida kubwa kubwa ni bora kuanza na kiasi kikubwa ambacho unaweza kupata hata pair 50 nzuri za raba
Ebhana komaa nao mtafute mwanasheria coz kama evidence unazo na ushapoteza muda mwingi kujiandaa kwa interviews zao so usilaze damu hapo itafute haki aiseee
kusema ukweli uwezekano wa kupata ajira hususani kwa wanaofanya internship kwenye makampuni ya kiserikali ni mdogo sanaa na mpaka sasa hatujui tatizo lipo wap?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.