Recent content by rclemence

  1. R

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa mgombea CCM kata ya Kirumba Jack Masamaki Mbaroni kwa Ujambazi

    Nchi ikitaka kudhibiti ujambazi kwa dhati inalazimu itikadi ziwekwe kando! Jambazi anatafuata mali kwa dhuluma na hata kumwagga damu na haulizi unatoka chama gani kabla ya kuiba! Shime wananchi tuwaanike majambazi wanamaliza mali zetu na kuhatarisha maisha ya raia wema!
  2. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu amekua akinikopa hela mpaka nimeamua kukaanae mbali.

    Yawezekana kabisa roho yako imeziba siyo kwa sababu anakuomba hela bali kwa sababu umetathmini hutapata hela toka kwake ...vile amejionyesha hana. Hampendani kwa dhati!!!! Mapenzi ya moyoni hayahitaji vitu vya nje vinavyonyauka haraka. Pia yawezekana hamna lengo maalum ktk mahusiano yenu...
  3. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu amekua akinikopa hela mpaka nimeamua kukaanae mbali.

    Anakujaribu tu!!! Mbona story yako haionyeshi kama ulishampa hela? Mara zote unajibu huna!!! Mapenzi sawa ni kushirikiana na kutunziana siri jambo kwako tayari ni dosari.....hufai pia.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Mtoto aliyekojolea Kurani hana kesi ya kujibu

    xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Rais Jakaya Kikwete arejea nchini

    Kiongozi asiyekemea maovu ni hatari zaidi ya ukoma!!!!! Rais asiyekerwa shida na taabu za wananchi wake huku akijinadi kwa majirani ni sawa na MC ktk send off----bora liende!!!! Anatakiwa mtu jasiri wa kutuliza bori na kuchambua pumba. Mbona tena 2015 ni mbali sana kwa hali hii????????
  6. R

    JamiiForums Tanzania Afisa uhamiaji Mwanza aliyenusurika kuuawa na polisi ashambuliwa kwa nondo!

    Ktk sakata kama hilo ukweli utajulikana na upo ila utafichwa kama mambo mengine ya kitaifa yanavyofanywa! Watatoa kafara mmoja apelekwe mahakamani ili waendeleze kufunga midomo ya watu kwa style ileile ya ....jambo lipo mahakamani... wakati umafia kama huo hautafutiwi dawa ya chanzo chake...
Back
Top Bottom