Description ya kazi unatoa juu juu tu. Weka maelezo yote. Kazi ni ya networking? Na kama ni networking mtu anakua anafanya kazi gani?. Maana networking ni pana.
Mimi ni mwanafunzi diploma in computer science. Nimeangalia google, kwa nchi nyingine php ni kama ya kizamani kidogo na wengi hawa recommend. Lakini kuna mtu kaniambia tanzania website nyingi bado zinatumia.
Je, hili ni kweli?, Kwasababu naogopa nisije soma kitu ambacho kwenye mazingira yangu...
King'amuzi changu kina Eutelsat 7B frequency, baada ya kuformat. Nasikia wamehamia Eutelsat sat 7C.
Kwahiyo nikisearch channel zinazokuja ni Bloomberg, Universal Tv na Imaan Tv.
Kwahiyo naomba anaejua frequency zao mpya anijuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.