Ndugu Wanajamvi, Poleni Na Majukumu Ya Kila Siku, Nakuja Jukwaani Kuomba Msaada Wa Kupata Kazi! Nitaandika Kwa Ufupi Kuokoa Muda, Mwaka 2008 Nilichaguliwa Kusomea Ualimu Chuo Kukuu Cha Dodoma, Sikumaliza Kulitokea Mgomo Tukafukuzwa, Hatukurudishwa Chuo Toka Tufukuzwe Mpaka Sasa,
Baada Ya...