Recent content by Rayz

  1. Rayz

    Dark days 17/03/20

    Mkuu fungua code,nipo gizani
  2. Rayz

    Miaka 15 hivi iliyopita jamaa yangu alioa mwanamke ambaye walikuwa wamekutana miezi kama 3 tu iliyopita

    Mwanamke atakuwa amepata mbinu ya kummaliza jamaa,mwabie asikubali kukutana nae milele
  3. Rayz

    Kama hawa sio CHADEMA, basi wakenya wanadhalilika sana

    Kumbe kuna wapemba walishawahi kupigwa mabomu na serikali?
  4. Rayz

    Usije kuoa kwa kuangalia uzuri wa mwanamke, utajuta sana

    Imajini mkeo anakulaan usifanikiwe na mmezaa watoto kisa umeuza magunia 50 ya mpunga wakati kazi yake ilikuwa kuwalipa vibarua na bado umebakiza magunia 250 Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  5. Rayz

    MAONI: Kwenye battle ya flagships, hakuna brand inayoizidi Samsung, hata iPhone haishiki moto wa Samsung

    Ni matumizi yapi yanaonesha kuwa mtu anaitumia simu yake kikamilifu? Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  6. Rayz

    Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere

    Huo mgao uliisha lini,hapa tu naandika nipo kwa giza totoro Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  7. Rayz

    Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere

    Maji hakuna kata umeme,maji yamejaa kata umeme [emoji16][emoji16] Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  8. Rayz

    RC Makalla achana na Makonda vinginevyo utakwenda na maji

    Hawezi Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  9. Rayz

    Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

    Hii ni kwa ambao hawajaoa tu. Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  10. Rayz

    Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

    Waigizaji hatari,mdogo wangu alioa mjita tukaingia mzigon walivyo achana tukachinja mbuzi Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  11. Rayz

    Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

    Kuna jiran ni kama ameoa tarumbeta kelele 24/7 hadi kero Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  12. Rayz

    Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

    Mh.Rais ametuonesha thamani ya m600 ilivyo,kwa hiyo m600 unajenga kituo kipya cha afya,unaanzisha shule mpya Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  13. Rayz

    Serikali kuwabana zaidi waagizaji Magari yaliyotumika ili kulinda uzalishaji wa ndani

    Biashara ya usafirishaj itabaki kwa matajiri tu
  14. Rayz

    Dark days 17/03/20

    Get ready for [emoji1241] to [emoji24][emoji24] why?
Back
Top Bottom