na pia haipo ambayo ni pure capitalist,lakin tunaweza kusema hii nchi n ya kicapitalist au kisocialist kwa kuangalia ina features nyingi za upande gani socialism or capitalism
nilivyo muelewa mimi burudani ni upuzi kwenye nchi ambayo rasilimali na utajiri wa nchi vinaporwa na kupotea bure alaf ww unaimba na kuchez, anatak watu wapganie kwanza rasilimali zao kisha burudan sasa ndoifuate wakat maisha n mazuri kwa kila moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.