Recent content by Raymondu

  1. R

    Afrika ilishaachwa na Mungu tangu kitambo

    wazo zuri sana,nakunga mkono mkuu
  2. R

    China wameshidwa ujamaa

    na pia haipo ambayo ni pure capitalist,lakin tunaweza kusema hii nchi n ya kicapitalist au kisocialist kwa kuangalia ina features nyingi za upande gani socialism or capitalism
  3. R

    Makongoro Nyerere: Mkinichagua, nitaanza kushughulika na kukiimarisha chama

    hapo alikuwa akzungumza na wana chama wa ssm
  4. R

    Waziri Mkuu na Urais

    msimu huu wako siriaz sana,chochote cha weza kutokea
  5. R

    Zitto amrushia 'kijembe' Prof. Muhongo

    jina tu lina ntisha,muongo? Siwez kumupa kura yangu
  6. R

    Lowassa asema role model wake ni Nyerere na Kwame Nkurumah

    acha potojo za kwenye kahawa,zsizo na evidence
  7. R

    Jenerali Ulimwengu: Hata kwenye upuuzi tuko dhaifu!

    nilivyo muelewa mimi burudani ni upuzi kwenye nchi ambayo rasilimali na utajiri wa nchi vinaporwa na kupotea bure alaf ww unaimba na kuchez, anatak watu wapganie kwanza rasilimali zao kisha burudan sasa ndoifuate wakat maisha n mazuri kwa kila moja
Back
Top Bottom