jamaa mmoja alikuwa na wivu sana na mkewe kila sehemu atakayo pita anasikia watu wakimzungumzia,siku moja akanunua lipshine na kuimimina yote iliyo kuwepo na kuweka super glue ndani ya ile chupa na kwenda kuiweka sehemu anayo tumia mkewe,muda wa kujilemba mkewe ulipo fika akamaliza kilakitu...