Pole sana kwa changamoto hio kuahirisha mwaka ni lazima uripoti na usajiliwe ndipo uweze kuandika barua ya kupospond mwaka kwa sababu kuu moja au mbili bila barua mwisho wa siku watakuambia umedisco na pili TCU hawatokpanga chuo kwani dada ztaoneka umedahiliwa mwaka mmoja nyuma...ila ukisema...
Ndio kwa hata rafiki angu alipangiwa BAGE but alichange na kuchukua BEDA mwaka jana pia mwingine alihamia Bed sped from beda tena huyo ndo hakuchukua hata siku 2 coz wao ndo walopendekeza abadili kutokana na uwezo wake wa sign language aloonesha ck ya orientation
Kwa cku za nyuma kwa ufahamu wangu walikuwa wanakaa 2 esp bloc s coed na nazngmzia by 2013 coz nliwahi kuishi hilo bloc nkiwa nauza duka lilopo hapo bloc s mpaka sasa
watu wengi nikiwemo mm nlijaribu ku login kwenye account yangu ili kuona kujaza hilo dodoso lakini cha ajabu naambiwa niingize neno lilopo below lakin cjafanikiwa kwa maana inagoma login ..sasa nauliza hivi kama itagoma kufunguka mpaka muda ukaisha c ndio hauna chako? au huu ni mpango mahususi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.