Recent content by Rastus

  1. R

    JamiiForums Tanzania Umejifunza nini katika picha hii ambayo Dkt Tulia amepakatwa na Mama Yake Mzazi?

    Usiruke post yangu imeuliza haya: "Hujajibu swali, andiko lako limefanikisha nini hasa? Ulikuwa unalenga kupata nini hasa? Je, majibu haya ya wachangiaji ambayo kwa kiasi kikubwa ni hasi ndiyo ulikuwa umepania kuyapata juu ya mhusika mkuu wa andiko lako Spika Tulia?" Jibu bwana Mwashambwa!
  2. R

    JamiiForums Tanzania Umejifunza nini katika picha hii ambayo Dkt Tulia amepakatwa na Mama Yake Mzazi?

    Hatukimbii mijadala JF kwa kusema fanya wewe au andika wewe. Tunabishana kwa hoja, leta jibu kinzani lenye maana bwana Mwashambwa. Hujajibu swali, andiko lako limefanikisha nini hasa? Ulikuwa unalenga kupata nini hasa? Je, majibu haya ya wachangiaji ambayo kwa kiasi kikubwa ni hasi ndiyo...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Umejifunza nini katika picha hii ambayo Dkt Tulia amepakatwa na Mama Yake Mzazi?

    Kama yalishafanyika hili andiko lina haja gani gani? Tunarudi kulekule umuhimu wa mawasiliano na mahusiano na umma ya kimakakati. Mother's Day ni May 12 jumapili hii, andiko hili kama lingekuwa kupelekea siku ya kina mama duniani lingekuwa na tija na maana sana. Tulia na mama yake wanapata...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Umejifunza nini katika picha hii ambayo Dkt Tulia amepakatwa na Mama Yake Mzazi?

    Mjifunze uandishi na mawasiliano ya kimkakati! Hata kama ni propaganda jifunzeni toka kwa Wachina basi au hata Rwanda tu hapo. Makala ambazo ungeweza kuandika hapa: Toka familia umasikini mpaka kuongoza bunge Safari ya Tulia kupelekea IPU Mila na tamaduni za Kinyakyusa katika karne ya ishirini...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Kozi ya Bachelor of Arts in Economics and Statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani?

    Fursa zipo nyingi ila binafsi ninashauri kama utaosoma econ and stat focus zaidi kwenye data science and analytics ulimwengu unaelekea huko. Apply knowledge yako ya hayo masomo mawili huko. Kama utasoma hii course add value on yourself nenda Udemy pita pia YouTube learn Data Analytics using...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi kwa mke kunyonya sehemu za siri za mume wake?

    You should be sexually compatible na mwenza wako
  7. R

    JamiiForums Tanzania Niulize swali lolote kuhusu IFM

    Well, kazi sio rahisi kupata kwa taaluma nyingi sasa hivi. Graduates wengi wanahangaika mtaani. Piga shule lakini jiongezee value. Mimi ningeshauri ukimaliza degree enroll ufanye mitihani ya Chartered Insurance Institute - CII. This qualification itakuongezea mileage sana. Mitihani hii ni...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Siku hizi vijana wana-date na wamama watu wazima

    So, what? Wewe fanya yako, usifuatilie maisha ya watu.
  9. R

    JamiiForums Tanzania Hivi ingekuaje kama Wilaya au Mikoa ingepewa uwezo wa kusaka wawekezaji toka nje?

    Kujitangaza na uwezo wa kufanya maamuzi ni vitu tofauti. Devolution bado ni work im progress kwetu. Mfano, tunaweza decentralise baadhi ya vitu katika mchakato mzima wa kuwekeza. Kuwekeza ni zaidi ya matangazo.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Hivi ingekuaje kama Wilaya au Mikoa ingepewa uwezo wa kusaka wawekezaji toka nje?

    Devolution "ugatuzi" na federalism "shirikisho" ni vitu tofauti. Tanzania sio shirikisho. Hatuna sababu ya kuwa shirikisho. Devolution ilishaanza kutekelezwa nchini. Kwenye elimu na afya baadhi ya maamuzi yanafanyika katika halmashauri. Tatizo kubwa ni sera na kasi ya kuzipa serikali za mitaa...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Hivi ingekuaje kama Wilaya au Mikoa ingepewa uwezo wa kusaka wawekezaji toka nje?

    Obviously, maendeleo hayawezi kuwa sawa. Ila hoja ya kukosa viongozi hapana. Nchi hii ina wasomi wengi tu. Kugatua madaraka hakumaanishi kuwa nafasi za uongozi na watendaji zitakuwa kwa kabila au watu waliozaliwa eneo hilo tu! Nafasi za hawa matechnocrats kwenye kada mbalimbali zitatangazwa na...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

    Stereotypes tu hizi kaka. Mtu muhuni ni muhinu. Kwani Tanzania hakuna wanaolea watoto wasio wao? Kama ni cheating baadhi ya wanawake wa Tanzania wanafanya pia.
  13. R

    JamiiForums Tanzania Hivi ingekuaje kama Wilaya au Mikoa ingepewa uwezo wa kusaka wawekezaji toka nje?

    Ndio, maendeleo yatazidi. Changamoto kubwa katika kulifanikisha hili ni serikali kuu kuhodhi madaraka. Hili litawezekana tukigatua madaraka kwenda mikoani na wilayani. Hivi sasa nafasi ya serikali za wilaya na mikoa kwenye uwekezaji ni ndogo. Turudishe maamuzi mashinani. Serikali za Mitaa...
  14. R

    JamiiForums Tanzania TANZIA Kaka wa Freeman Mbowe, Charles Mbowe afariki Dunia

    Pole kwa familia ya Mbowe. Bwana alitoa, Bwana ametwaa.
  15. R

    JamiiForums Tanzania Bachelor of Science in Data Management - Open University of Tanzania

    Sijuani na watu waliofanya kazi Google ila hakuna kinacho shindikana, just be good in your craft.
Back
Top Bottom