Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inajitahidi sana kuboresha na kukarabati miundombinu ya barabara lengo likiwa ni kurahisisha mnyororo wa thamani kwa bidha, mazao shughuri nyingine za kiuchumi ili ziweze kufanyika kwa urahisi lakini jitihada hizi za uboreshaji zimepewa kipaumbele...
Kutokana na takwimu za sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwaka 2022 imeonesha kuwa Tanzania ina watu wapatao milioni 60+ ikiwa ni ongezeko la watu milioni 20+ kutoka sensa ya mwaka 2012, kwa mustakabari huo ongezeko la idadi ya watu linaenda sambamba na ongezeko la shughuri za kibinadamu...
Habari za jioni ndugu , naomba mtu ambae ni mzoefu na hii biashara ya kununua na kuuza nafaka hasa mchele (kutoa mikoani) ambae anaifanya hapa Dar es salaam. nahitaji anipatie muongozo na utaratibu mzima wa kuanza lkn itapendeza zaidi tukawasilian 0673117224
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.