Recent content by rashidforeseer

  1. R

    JamiiForums Tanzania UKAWA kuitikisa Zanzibar leo

    Wakombozi wa taifa letu ukawa Mungu awa linde
  2. R

    JamiiForums Tanzania Warioba katika 'dakika 45' za ITV akihojiwa kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya...

    Naona lumumba at work mmoja anaanza kujitokeza kuja kuropoka hapa
  3. R

    JamiiForums Tanzania Warioba katika 'dakika 45' za ITV akihojiwa kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya...

    Ccm oyeeee. Lumumba under mwigulu professional wa matusi mpooooo!!!.njoeni mujibu speach ya warioba kama mnafikiria kupitiakichwa
  4. R

    JamiiForums Tanzania Warioba katika 'dakika 45' za ITV akihojiwa kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya...

    Mijitu ya ccm imekufa ganzikwa speach ya ngwigi wa sheria na haki jaji warioba. Hawawezi kujigusa kwa shoka walilopigwa na warioba leo. Sasa wapo chaliiiiii.....
  5. R

    JamiiForums Tanzania Maonyesho ya jeshi la wananchi wa tanzania kusherehekea miaka 50 ya tanzania

    Hii ilikuwa ni mikwara tu ya kuwaogopesha watz
  6. R

    JamiiForums Tanzania UKAWA kukutana na waandishi wa habari saa 8:00 mchana huu Zanzibar

    Yani namaanisha zuma wa africa kusini anamjua lisu
  7. R

    JamiiForums Tanzania UKAWA kukutana na waandishi wa habari saa 8:00 mchana huu Zanzibar

    Lisu amewashika pabaya. Lisu jembe lile chezea mwingine co yule. Nendeni mkamuulize juma lisu ni nani atawaambia
  8. R

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa Sita amshitakia Waziri mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda

    Wana nchi wapi tena kama co cc hapa? cc huku mtaani tumeshangilia sana ukawa kutoka bungeni kwani kile ni kitendo cha busara. Ukiwa ndani na familia yako ukaona baba au mama amejaa hasira anatukana tuu haongei point kisaikologia inashauiwa ni heri utoke hata nje ili kuepuka huo upuuzi wake...
  9. R

    JamiiForums Tanzania CCM walibadilishwa na kardinali pengo - serikali 2

    Wakatolic ni ma empire makubwa. Mambo ya ujasus wanayajua sana. Hiyo ndo sera yao. Mm ni mkristu nawajua sana. Hilo linalosemwa lipo ndo mana wenzetu waisilamu kila ckuhulia na mfumo kristo. Na hii itakuwa ivo daima. Mfumo kristo ndo upodunian nw so ni kweli lisemwalo.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Tarehe 19 Aprili Jumamosi, Mkutano MKUBWA wa UKAWA Zanzibar

    Unafikiri wa zanzibar ni waoga kama waswahili wa hapa pwani bongo?
  11. R

    JamiiForums Tanzania Baada ya kutoka bungeni - hii ndio post ya Julius Mtatiro... Vitisho makanishani

    Lukuvi na waziri wake ni muuwaji
  12. R

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

    Kwanza huyu ni gamba . Hatukutaki huku kwa wanaofikiria kutumia ubongo
  13. R

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria na Mbunge Wa Chadema Tundu Lissu Atuombe Radhi Taifa Amemdhalilisha Baba Wa Taifa!!

    Nyere hakuwa malaika wala mungu asikosee. Acheni kusujudia bila kuhoji uhalali wako wa kusujudia. Wanasayansi wanapatikana kutokana na waliotangulia hivyo hukosolewa sana kwa hoja hadi kupata nani zaidi tena haijalishi yupo hai au laa. Kuweni makini hakuna anayenyimwa kumkosoa nyere kwa kujenga hoja
  14. R

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 14 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Duuh hata mm motio umekata wakuu. Ngoja nikachage
  15. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya Wanawake hawavai Chupi?

    Amenyoa vizuri
Back
Top Bottom