Recent content by rasdavy

  1. rasdavy

    Dream houz house plans

    We design and supervise residential or commericial projects Call/ whatssap 0714156854
  2. rasdavy

    Beacha plot Inauzwa mtwara

    Utapeli upi Mkuu?
  3. rasdavy

    Beacha plot Inauzwa mtwara

    Samahani kwa Kosa la heading. Mahala: Msanga mkuu, mtwara Ukubwa: Mita 129 kwa 100 Vitu vilivyomo: minazi Linafaa kwa: Hotel, resort, Makazi Bei: Milion 100 maelewano yapo For serious buyers call 0714155854 Note: Mimi sio dalali wala mwenye eneo namsaidia muhusika ambaye hana uelewa wa mambo ya...
  4. rasdavy

    Wanaume hii ni Yenu

    Hii yote ni kwa sababu matumizi ya condom ni hafifu . Condom zinaexpire tu madukani. Mkitiana mimba mnasema bahati mbaya kwa nn condom isitumike
  5. rasdavy

    Pata ramani nzuri za nyumba

    Nitafanyia kazi ushauri wako shukran
  6. rasdavy

    Pata ramani nzuri za nyumba

    https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=740562
  7. rasdavy

    Pata ramani nzuri za nyumba

    hiyo ni vyumba vitatu mkuu, kwa makadirio inaweza ikacheza kwenye 35m to 40 kulingana na material yaliyotumika otherwise mpaka tucalcute
  8. rasdavy

    Je unahitaji ramani yenye muonekano na mpangilio mzuri

    https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=740562
  9. rasdavy

    Je unahitaji ramani yenye muonekano na mpangilio mzuri

    Tunadesign na kuchora ramani aina zote, ukija kwetu tutakupatia floor plan, elevations, section, plumbing details,schedules, roof plan na 3d views. Ofisi zipo machinga complex floor ya nne wing ya kushoto kama unatoka ilala boma. Wa mkoani unaweza kumuagiza muwakilishi wako aliye dsm. Call us...
  10. rasdavy

    Je unahitaji ramani(plan) ya nyumba yenye mpangilio na muonekano mzuri ?

    3d bedroom genuine unique house
  11. rasdavy

    Je unahitaji ramani(plan) ya nyumba yenye mpangilio na muonekano mzuri ?

    Wa mikoani unaweza ukamtuma muwakilishi wako aliyeko dsm ofisini kwetu au tunaweza kufanya biashara kwa email na simu kama utaridhia
  12. rasdavy

    Je unahitaji ramani(plan) ya nyumba yenye mpangilio na muonekano mzuri ?

    Insulated wall panels hazipo kwa wingi hasa kwa mikoani ila kwa dsm maagent wanaotengeneza wapo na gharama zao zinatofatiana ila ni cheap ukilingalisha gharama za tofali. Mara nyingi zimakuwa na finishing au kama unahitaki aina fulani ya finishing wanaweka, unachotakiwa kufanya kwenda na ramani...
  13. rasdavy

    Je unahitaji ramani(plan) ya nyumba yenye mpangilio na muonekano mzuri ?

    Partion za ndani kugawa kwa material ya gharama nafuu kama mbao na ceiling board haina shida ila kwa uprivacy zaidi kwa mazingira yetu ya kiafrika ingetumia tofali za kuchoma au insulated wall panels ambazo pia gharama yake ni nafuu na ukuta wa nje unaobeba mzigo ukatumia tofali za kawaida
Back
Top Bottom