Recent content by Rapture

  1. R

    Nimedata na manjonjo ya huyu changudoa

    Machagudoa ni hatari ktk ngono
  2. R

    Habari za siku nyingi

    Wapendwa wana MMU habari za siku tele nilipotelea mbali na hili jukwaa na leo nimerudi. Natumai hamjambo na nimerudi na nitashirikiana nanyi kwenye shauri mbalimabli
  3. R

    ~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

    Dah! hadithi inatufundisha hasa sisi wanandoa. Hawa wasichana wetu nyumbani siku hizi mtu asipojiangalia ndo inakuwa kama yanamkuta Waziri Jonathan. Inabidi nikae umbali wa 1000 miles mbani na house girl wetu. Haya nasubiria kwa Mjamaica nyumbani itakuwaje.
  4. R

    ~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

    Hadithi nzuri, ni kama kisa cha kweli maana usaliti umekidhiri. Just imajine minister's wife with a kiosk vendor. ama kweli mapenzi kizungumkuti. Ok nasubiria kilichojiri baada ya kutoka stedium
  5. R

    GE2010 Siri ya Mshahara wa Rais na Marupurupu ya Rais Wastaafu...

    This is not true at all. Huo mtaa alioujenga kule maisara zanzibar asingeweza kwa mshahara huo hata angejenga mbavu za mbwa
Back
Top Bottom