Asili ya mziki wa Tanzania ni Mchiriku tu.....sema kwa kuwa haukuwai kupewa sana promo na wengi wao wanaouimba ni masela kwa sana,mchiriku unaonekana ni mziki wa wahuni,ila asili ya mziki wetu ni mchiriku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.