Chadema haikuanza hivi wewe ilianza kwa kujitegemea na kujijenga yenyewe co kwa kutegemea watu wa nje na wasaliti...hakuna mtu maarufu mbunge ama yeyote aliyetoka ccm au vyama vingine kwa wakati huo na kujiunga na chadema na kuipa nguvu ,acheni uongo
Wanajamvi huyu mtu mwenye uchu wa madaraka alieanza kuutafuta uraisi muda mrefu kwa kugawa misaada makanisani na misikitini na kwa makundi mbalimbali eti anawawezesha vijana kimitaji ,je tumejiuliza uwezo huo wa kifedha unatoka wapi ?kwani lowassa ni taasisi ? Kwanini na hata kama ni billionaire...
Nafikiri ndg yangu magamba wamekuharibu kbs ,kwa swala kama la south Africa co jambo la siri kwamba serikali isitoe tamko kulinda na kutetea raia wake kwakua habari hii ni habari ya dunia kwa sasa,anyway kubishana na magamba ni kupoteza muda tu maana hiyo sumu mliolishwa hadi mmekua vipofu mambo...
Huna akili wewe ,serikari yoyote duniani ina wajibu wa kutoa habari kwa raia wake...ndo maana nimekuambia umerogwa wewe na wajinga wenzako magamba,kama hujui kitu uwe unanyamaza mjinga we
Watu wanaomfuata na kumsikiliza msaliti siwaelewi upeo wa kufikiri kwao ,hivi hamuoni hata kwa akili ya kawaida tu zitto sio mpinzani kwani chama chake kinapambana na upinzani ili kugawanya kura za wanaoikataa ccm ,huku kura za ma ccm zikibaki pale pale ,angekua mpinzani kweli angeenda kuomba...
Wanapenda kuangalia lkn mara nyingi hupenda kuangalia peke yao awe mwenyewe au awe na mwenzake rfk ake wa karibu ,anaependa kuangali akiwa na wanaume au hadharani huyo ni muhuni au malaya na hata akiangalia wengi huwa wanaona aibu sana kwani kuna udhalilishaji mkubwa unaofanywa kwa mwanamke ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.