Recent content by Rangi 2

  1. R

    Punguza unywaji wa pombe, ukiweza acha kabisa

    Point yangu ni kwamba habari za Biblia na Quran hazitusaidii chochote. Ni utumwa tu wa akili.
  2. R

    Punguza unywaji wa pombe, ukiweza acha kabisa

    Mhubiri ndo nani (usilete habari za biblia hapa) Anayo authority gani?
  3. R

    Mtu akifa anaenda wapi?

    Wewe ni mpuuzi tu kama walivyo wapuuzi wengine.
  4. R

    Mtu akifa anaenda wapi?

    Haya mambo yamepitwa sana na wakati.
  5. R

    Mtaala wa A-Level Physics

    Shukrani sana kwa ku-share hiyo soft copy. Nilikuwa A-level 1985-87!
  6. R

    Kwasababu ya umadhubuti na uimara wa misingi yake, Chama kitatawala karne nyingi zijazo

    Kwanini basi mnaogopa kuwepo kwa tume huru ya uchaguzi na katiba mpya? Sio bure, umerogwa wewe!
  7. R

    Kwa nini Maaskofu waliyakalia kimya mambo haya?

    Hao hawawezi kuwa Wasabato. Nawafahamu vema hao watu. Hao ni SDA
  8. R

    Maelfu ya Wakulima wakesha wakisafiri usiku kucha kumfuata Rais Samia mkoani Mbeya

    Unaudhi sasa... lakini Mungu ni fundi...
Back
Top Bottom