Recent content by ramso mahiki

  1. ramso mahiki

    Walimu tutaendelea kudharaulika kutokana na Rais tuliyenae

    Acha kazi nenda kalime au acha Kaz ingia mtaan uone pesa ilivyongumu walimu mmezid kulalamika Kwan sector zingine mbona kimya km makaran na watendaj wa chin wa serikali kaa kimya
  2. ramso mahiki

    Deadline ya CAS- NACTE applications-2016

    Kwa alieapply ktk selection vyuo vikuu (University) vimeonekana kwny profile pind unafanya select tujuzane Kwa aliofanya please
  3. ramso mahiki

    Deadline ya CAS- NACTE applications-2016

    Lazima waongeze muda kwasababu baadh ya vyuo huwez apply xahiv mpaka tcu na wenyewe wafungue
  4. ramso mahiki

    Msaada tafadhali kuhusu matokeo haya

    Asiende mipango huyo dogo atapoteza muda asome hata account procurement and supply au business administration kwasababu coz za mipango hazina tija wala fursa za ajira kwny ulimwengu wa sasa
  5. ramso mahiki

    Ushauri kwa wanaotarajia kuomba mkopo kwa 2016/2017

    Naomba kuuliza Kwa watu waliohitimu diploma wanaambatanisha copy ya chet au transcript km unaulewa mtoa uzi nijuze
  6. ramso mahiki

    Nahitaji kujua

    Asante xana Kwa ushaur wako kamanda umenipa ushaur mzur xana
  7. ramso mahiki

    Nahitaji kujua

    Tatizo mm mpaka xahiv sipata transcript yang 'na matokeo Tayar yametoka lakin nimeshoamba transcript kutoka chuo wakaniambia mpaka ijumaa napo hamna kuchukuliana 'na mm nipo mbal na niliposoma
  8. ramso mahiki

    Nahitaji kujua

    Asante Kwa kunielewesha
  9. ramso mahiki

    Nahitaji kujua

    Asalaam aleykum Bwana yesu asifiwe Mtu kama unafanya application kupitia nacte kujiunga na degree nilazima uscan transcript au unaweka number yako ya usajil chuo na mtihan basi bila kuscan transcript maana kuna watu wanadai kua ni number tu bas
  10. ramso mahiki

    Msaada

    Asante Kwa ufafanuz wako
  11. ramso mahiki

    Msaada

    Kwahiyo inawezekana nikalipia xahiv m_pesa na nikafanya selection kama Kawaida
  12. ramso mahiki

    Msaada

    Kwahiyo inawezekana nikalipia xahiv m_pesa na nikafanya selection kama Kawaida
  13. ramso mahiki

    Msaada

    Kwa watu ambao wa nacte hatukufanya application kwasababu ya sup xahiv matokeo ya sup yametoka tunaweza fanya au ndo tumechelewa
Back
Top Bottom