ZILLAHENDER MPEMA,
Nime kuelewa mkuu. Asiye kuelewa basi atakuwa ana matatizo makubwa ya ki saikolojiya.
Hivi kwa nini huyu bwana hakujiuzulu kama haku yahafiki yaliyo kuwa yakitendeka? Mbona tunaona wenye kujiuzulu wasio hafikiana na fikra zake? Ka nini yeye hakufanya hivo?
Mbona hajasema...
kuna mahakama ya kimataifa ya wawekezaji. ni chombo ambacho sasa hivi ndo kinapeleka jahazi la ukoloni.
-Tanzania ni mwanacha.
-Hakuna siku nchi zinazoendelea zimewahi kushinda kesi zidi ya ma kampuni makubwa.
-Wajanja walianza kutoka kwanza kwenye umoja huo kabla ya kuwabana mabepari.
-Ukiwa...
Hii hali niliiongeya mapema mno. usalama barabarani sawa na TRA wanapewa target. unapopewa target hasa askari lazima utekeleze.
Na ukisha mpa mtumishi wa uma target manaake unauponza uma.
Kawaida yao kwanza ni rushwa.
Usalama barabarani, niligombana nao sana manaake mimi najuwa haki yangu...
Baba yake Bashite ataandika barua kwa lugha gani? Hata hivo atamtukana marehemu bure. Manaake kwa fikra zake finyu, kuishi au kufanya kazi nnje ya nchi ni ukosefu wa uzalendo.
Wakati hajira kashindwa kuongeza hata moja, anachokijuwa hasa ni kupunguza hata zilizo kuwepo.
Poleni sana wafiwa...
Wewe nyani kweli kweli. Nchi inaongozwa ki sheria. Ka kamatwa kwa kosa lipi na ka achiwa kwa sababu gani? Wananchi wenye akili tofauti na nyani tunataka tujuwe. Ili baadae kwa kesi au matukio ya namna hii tuwe na reference. Na hilo lapatikana mahakamani nyani wee. Halaumiwi mtu, just tupeni sababu.
Swali ni busara ku wasimamisha alafu kuongelea utafiti baadae au fanya utafiti wako huku wakiendelea chapa kazi?
Tusikosi tu kuambiwa matokeo. Manaake kila siku bandari inasafishwa lakini haiishi viroja. Inamana yanatumbuliwa ila doctor hana utaalamu wa kutumbuwa roho ya jibu.
Ki bashite...
Nakuelewa sana mkuu. Wote nia yetu ni kujenga au kwa kifupi mafanikio ya mtanzania. Tatizo la international majipu kama hayo kesi yake haiishii hapa. Inaenda kwenye international courts na kule hatuja wahi shinda hata kesi moja. Gharama baada ya kutumbuwa hatuja wahi ambiwa hata siku moja...
Nawashangaeni sana ndugu zangu. Wale mabwana wali saini mkataba na serikali. Wanalipa kodi kubwa mno. Kibusara mkataba kama huo haukatiwi bandarini pale. Kwa sababu biashara yao haikuwa na siri. Ilikuwa halali kulingana na mapatano. Sasa kama unahisi mkataba umekosewa waite wausika kama mlipo...
Hiyo hali kwa sisi tunao ishi ulaya tunaielewa sana kupita kiasi. Ugonjwa kama ukitaka tuuite hivo ila mimi naweza pendelea kuita hali, unaitwa "stress" au hali ya stress. Huu Ugonjwa mara nyingi Africa hatuujuwi na unawafanya ma Dr. wa kienyeji kupata riziki zao kwa wingi. Mabadiliko ya mfumo...
Pole sana kwako na innalillahi wa inna illayhi rajiun. Tatizo lishiishiye tu kwa ma dereva kama ulivyo sema. Liende pia kwa Serekali kwa kukosa miundo mbinu. Eneo hilo la baada ya Machinga complex unaloongeleya it's a disaster in the making. it's cooking up. Mashimo kwanza ni makubwa mno pale...
Now that you got to that point, have you thought of any solution for the problem? Since we both know what our government is doing to the business people and tax payers is not fair.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.