Hii hoja yako ni mfu. Nani kakumbia wafanyakazi wa Idara wote lazima wale wasomi wa vyuo vikuu? Recritment ya Idara huwa inafanyika hadi kwenye ngazi za shule za Sekondary na mitaani pia. Hao wasomi wa ngazi za juu wanaohitaji siyo wengi kiasi cha kuhitaji kuwa na vyuo vikuu vingi. enzi za...
Uturuki ndo nchi yenye nguvu ya Kijeshi Ulaya Mashariki na Nchi ya pili Kwa nguvu za kijeshi ndani ya NATO. Sema kupigana na Israel kunahitaji akili kubwa maana kimsingi atakayepigana siyo Israel Bali Marekani na wake zake akina Ufaransa na Uingereza bila kumsahau Kanada na Ujerumani. Mwenye...
Albadin ile ya wakatoliki inawafanya wagombea bongo zao zisiwe na ushirikiano na lips. Kimsingi bila shaka trekta ni elfu 10 kama ilivyosomwa kwenye bajeti ya Wizara ya Kilimo. nasiyo Mil 10.
Wewe humu kila mara unaisifia CCM Kwa miradi lukuki ya Umwagiliaji kama ambavyo Mwashamba akimsifia mama kila kukicha! Au unaona teuzi zinakupita kushoto pamoja na juhudi za kusifia hivyo umeona bwai bwai
Unayo Ilani au unasikiliza hotuba za kampeni za jukwaani? Soma hapa:
Kuongeza tija katika kilimo
17. Kwa kutambua nafasi ya kilimo katika usalama wa nchi, ujenzi wa uchumi na kukuza kipato cha wananchi, CCM itaendelea kusimamia mapinduzi katika sekta ya kilimo ili kukifanya kuwa cha kisasa...
Mnataka aende uarabuni kuua kipaji kwa kukalishwa bench kama ilivyotokea kwa Miqson siyo na wengine siyo? Na kwamba aache mshahara mpya wa Mil. 35 aliopewa na yanga huku akiwa karibu na biashara zake na familia ili aende kwenye mshahara wa Mil. 40 za Kitanzania kule nje kwenye gharama kubwa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.