kwa kifupi sioni mpinzani anaweza nishawishi. Lissu alipiga sana kelele waki Jpm anachukua hatua sahihi kwenye madini. Mbowe alimuuzia chama lowassa, lipumba alisema shida ni chama ma si mtu, kwa hiyo lowassa was the right person. Mi naamini mtu sahihi yupo ccm ila sio upinzani
Pascal sikutrgemea kama ungeuliza swali kama hili. Mfano unasema bwawa limefika asilimia 32 na zimetumika bil 5, wakati kumbe bwawa limefika asilimia 52. Sasa hiyo asiliamia 32 ikifika 52 si hela zaidi zitakuwa zimetumika na utakuwa umepigwa. kwa maana hiyo bwawa linaweza kuwa limeisha lakini...
hawa jamaa mimi ndio nawaonaga wajinga hapo tu. ok tuseme majaliwa karudishwa ziwani na zawadi zimerudishwa, je ndio changamoto ya maji, umeme nk vimetatuliwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.