Recent content by Ramadhanmohamed

  1. Ramadhanmohamed

    Korea ya Kaskazini kuandaa silaha za kuifuta USA duniani

    Ni kwer lkn hakuna mtu anae penda kuwa nyuma ya mtu, na hao china na urusi wanaweza wakamnafikia marekani kwakuonesha kama vile wanamuogopa na kumuunga mkono kisha wakawa wanamsapoti. Kwa siri na kumchochea korea kaskazn ili ajichanganye wamdondoshe marekani ndo moja kati mbinu za kijeshi.
  2. Ramadhanmohamed

    Korea ya Kaskazini kuandaa silaha za kuifuta USA duniani

    Nimewafatilia vzr na nikawaelewa unajua haya mambo si rahisi kama yanavyo onekana hawa jamaa walisha wahi kupigana na malekani hapo nyuma au zamani kipindi hcho marekani anatumia mwanvuli wa umoja wa mataifa. Anaweza kuishambulia N. K kisha akajikuta anapambana na china pamoja na urusi kama...
  3. Ramadhanmohamed

    Mwanamke na mwanaume wakifumaniwa , anaedhurika ni mme. Je kuna haki kwer hapo?

    Ni kwer inakuwa ni ngumu kuamini lkn bas tuashumu ndivyo ilivyo hlf tuone inakuaje
  4. Ramadhanmohamed

    Mwanamke na mwanaume wakifumaniwa , anaedhurika ni mme. Je kuna haki kwer hapo?

    Mwanaume kupigwa kuchinjwa na kumwagiwa maji ya moto ila mwanamke hafanyiwi hvyo ili hali yeye ndio kanitaka na kunilazimisha.
  5. Ramadhanmohamed

    Kila anapokuja kwangu anakuja kavaa vibaya hadi kero

    Kama anakuja akiwa vibaya PIGA PUMBU KESHO ATAKUJA AMEVAA VZUR ACHA UJINGA KABSA WEWE.
Back
Top Bottom