Korea ya Kaskazini kuandaa silaha za kuifuta USA duniani

Kama ni kweli kwa unayosasema, usa wasingefanya majalibio ya kujalibu kudugua makombola ya NK kwa destroyer zao ambazo zina uwezo wa kutungua makombola yao wenyewe. Wao wanasema kuwa NK hana kombola la kufika mainland ya marekani, destroyer za nini?
Kwa AKILI YA KAWAIDA KABISA unadhani kuna nchi ina kombora la ajabu zaidi ya yaliyoko US na URUSI???!!vitu vingine havihitaji akili ya ziada.
 
Huwa nawashangaa sana watu wanaobabaika na Korea ya Kaskazini. Watu wanajidanganya kusema eti Marekani inamuogopa Mkorea lakini ukweli ni kwamba North Korea Hana uwezo wa hata robo wa kupigana na Marekani. Wanachojivunia ni uwezo wao wa kuipiga Korea ya Kusini na Japan ambazo zimeendelea sana kiuchumi lakini hazijishughulishi na umiliki wa silaha za hatari. Mnajua historia ya Japan ni sawa na Ujerumani ambazo ziliwekewa vikwazo via kutomiliki silaha za maangamizi badala ya nchiizo kuichachafya dunia mwaka 1939 - 1945 kwa namna ambazo haijaahi kutokea tena duniani.
Kwa hiyo hour iko kwa mad hata yanayoweza kuwapata washirika wa Marekani na si vinginevyo. Kumbuka tambo za Cuba, Libya na Iraq mtaelewa kuwa Vinchi vidogo vinavyotawaliwa na madikteta vina tabia gain. Kama Russia na China wako nyuma kwa Marekani, sembuse North Korea ambayo kwa Mashariki ya Mbali ndiyo nchi masikini ambayo watu wake wanakufa eti kwa njaa kama huku kwetu Bongoland.

Unatakiwa kujiuliza kat ya us na nk ikitokea vita nan atapata hasara zaid na sio kushinda wala kushindwa.
Na sio kujidanganya na habari zinazo toa sifa zakutisha za upande moja.
Hapo kuna trade off kubwa sana kwa us, kisiasa, uchumi hata kiusalama.
Nk yeye kama mgonjwa wa ukimwi anajua atakufa muda wowote na mazingira magum aliyowekewa na dunia, na kama dunia imeshikiriwa na mareken kwa kuifanya pesa yake iwe ndio pesa ya dunia kitu ambacho china na mataifa mengine yenye nguvu kama russia na nchi baadhi za ulaya azipendezwi na jambo hilo. Ili Nk ipate nafuu lazima amwangushe marekan kiuchumi na ndio kitu anacho tafuta.
Pia ukiangalia geographia ya NK imezungukwa na nchi ambazo marekan akisababisha madhara kwa kutumia mabom ya maangamizi dhid ya NK na yakaleta madhara kwa nchi hizo ni hatar kwake
Ingekuwa NK imejitenga kama Australia US angeweza fanya hivyo
Ila Nk aogop lolote.
Kwa hali hiyo US lazima awe mwenye nidhamu zaid
Sababu iliyo mfanya awe super power ndio sababu itakayo mdondosha na analijua hilo vema kuliko sis tujuavyo
 
Kwa AKILI YA KAWAIDA KABISA unadhani kuna nchi ina kombora la ajabu zaidi ya yaliyoko US na URUSI???!!vitu vingine havihitaji akili ya ziada.

Hiyo ni iman uliyo nayo wewe ambayo inatokana na habar juu ya mataifa hayo mawili, ila kama sio mvivu wa kufikiri kama mtu ameweza jua formula ya kutengeneza kombora la masafa marefu na anauweza wakurusha kombora kutoka kwenye nyambiz, chochote anaweza kufanya.
Ugunduzi wa mambo mbalimbali unaitaji nia thabiti na kujitoa, kama taifa lenye uchum mdogo linauwezo wakutengeza siraha za maangamizi na akiwa isolated state basi hiyo sio nchi ya kawaida.
Ndio maana yeye kila siku anafanya awezavyo na atakavyo na hao mnao waamin had sasa wamekosa majibu na awawez yapata leo wala kesho zaid ya kutangaza vikwazo.
 
Unatakiwa kujiuliza kat ya us na nk ikitokea vita nan atapata hasara zaid na sio kushinda wala kushindwa.
Na sio kujidanganya na habari zinazo toa sifa zakutisha za upande moja.
Hapo kuna trade off kubwa sana kwa us, kisiasa, uchumi hata kiusalama.
Nk yeye kama mgonjwa wa ukimwi anajua atakufa muda wowote na mazingira magum aliyowekewa na dunia, na kama dunia imeshikiriwa na mareken kwa kuifanya pesa yake iwe ndio pesa ya dunia kitu ambacho china na mataifa mengine yenye nguvu kama russia na nchi baadhi za ulaya azipendezwi na jambo hilo. Ili Nk ipate nafuu lazima amwangushe marekan kiuchumi na ndio kitu anacho tafuta.
Pia ukiangalia geographia ya NK imezungukwa na nchi ambazo marekan akisababisha madhara kwa kutumia mabom ya maangamizi dhid ya NK na yakaleta madhara kwa nchi hizo ni hatar kwake
Ingekuwa NK imejitenga kama Australia US angeweza fanya hivyo
Ila Nk aogop lolote.
Kwa hali hiyo US lazima awe mwenye nidhamu zaid
Sababu iliyo mfanya awe super power ndio sababu itakayo mdondosha na analijua hilo vema kuliko sis tujuavyo
North Korea hawez mdondosha US kiuchumi hata iweje. Maana km hzo Japan na South Korea zitaharibiwa hata leo na North Korea bhas makampuni ya Marekani ndo yatahusika katika ujenzi wa hyo miji achilia mbali uuzwaji wa silaha ktk vita.

Kinachomwogopesha Marekani kuvamia Nkorea ni hofu ya kuharibiwa kwa Japan na South Korea maana Ana maslah makubwa huko.
 
North Korea hawez mdondosha US kiuchumi hata iweje. Maana km hzo Japan na South Korea zitaharibiwa hata leo na North Korea bhas makampuni ya Marekani ndo yatahusika katika ujenzi wa hyo miji achilia mbali uuzwaji wa silaha ktk vita.

Kinachomwogopesha Marekani kuvamia Nkorea ni hofu ya kuharibiwa kwa Japan na South Korea maana Ana maslah makubwa huko.

Mkuu amin usiamin hali hi sio rahis hata kidogo, US akiingia vita na NK ataathirika sana kiuchum kuliko tuonavyo na usalama ktk taifa lake utakuwa mdogo sana.
Yeye anatambua hilo ndio maana anachukua taadhar kubwa sana, tolea mbali miji ya japan na south
Pia utumiaje ya Nuke unasambaa kwa kiwango kikubwa inamaana us akipiga NK lazima raia wa china wampakan wataathirika pamoja na russia
Tension itakuwa kubwa sana kwa US
Wakat NK hana hofu na maadui zake maana wamejikusanya pamoja SK n Jap wote wamejitenga.
Pia nae ananyambiz ambazo zinauwezo wakurusha kombola na nuke.
Wachum wanaplan kwa expectations hali ikiwa hivyo uchum wa us hauta bak salama
Kumbuka vita ya Ilaki mwaka 2008 US iliyumba sana kutokana na vita ile.
Jambo lingine utambue makapun mengi ya us yanapata mitaji kutoka China na Eu kupitia soko lao la mtaji (New York Stock Exchange)
Kama kutakuwa na hali ya hatar hisa zao zitashuka sana na uchum kudolola
 
Mapank jeuri anatoa wapi huyu.....? Isijekua moscow na iran wapo nyuma yake

Umesahau China, sina shaka Warusi na Wachina watawapatia Wakorea missiles zinazo julikana kama Aircraft carrier killer, makobora hayo ni hatari sana sana na kibaya zaidi Navy ya Marekani hawana kinga dhidi ya missiles tajwa, yakizamisha Carrier moja US inapoteza wanamaji zaidi ya 3,000 na ndege za kivita zaidi ya 100+, Marekani wakijaribu kutumia mabom ya Nuclear kuishambulia KIM, basi Korea ya Kusini na Japan nazo zitachakazwa kweli kweli - don't under rate resolve ya North Korea Army - who knows Kim inaweza kuwa na submarines ambazo zipo karibu na West Coast ya USA zikiwa na SMLM zenye range ya kushambulia miji muhimu upande wa Magharibi na katikati ya USA, again Wakorea wanaweza kutumia submarine walizo unda wao au kununua kutoka Urusi/Uchina. Binafsi naona Trump ajaribu kutumia busara kidogo asijidanganye kwamba Korea Kasikaziki ni rahisi kupigika, wanaweza kujikuta wapo katika wakati mgumu kuliko walio upata huko VietNam, Korea kasikazini miaka yote ilikuwa inajizatiti jinzi ya kukabiliana na uchokozi wa Uncle SAM we fikilia tangu mwaka 1954 Dunia haijui jamaa hawa walikuwa wanajihami vipi wana suprises zipi kwenye stores zao, Trump anapaswa kuwa makini sana.
 
North Korea hawez mdondosha US kiuchumi hata iweje. Maana km hzo Japan na South Korea zitaharibiwa hata leo na North Korea bhas makampuni ya Marekani ndo yatahusika katika ujenzi wa hyo miji achilia mbali uuzwaji wa silaha ktk vita.

Kinachomwogopesha Marekani kuvamia Nkorea ni hofu ya kuharibiwa kwa Japan na South Korea maana Ana maslah makubwa huko.

Aaah!! Kwa hiyo Uchina na Urusi zinazo pakana na Korea Kasikazini zitakubali USA ishambulie Korea kasikazini kwa makombora ya Nuclear ambayo yata athili raia wa Urusi na Uchina? Wamerikani hata siku moja hawajali binadamu wenzao specifically Japan na South Korea kama USA ingekuwa na chembe ya kujali watu wengine isinge sambaza makombora ya THAAD huko Japan na Korea Kusini huku wakijua kwamba vita ikitokea baina ya USA na Urusi/Uchina nchi za kwanza kushabuliwa na makombora ya nuclear za maadui wa USA na kufutwa kwenye uso wa Dunia yatakuwa ni Mataifa yaliyo kubali ku-install THAAD kwenye nchi zao, in other words USA hipo radhi ku-sucrifice binadamu wa mataifa mengine kulinda Taifa lake.

Uncle SAM hana UTU hata kidogo, haya mambo ya kusema hawataki kuishambulia KK eti kutokana na USA kujali sana Japan na Korea Kusini zisiharibiwe na mashambulizi ya Korea Kasikazini halafu baadae USA ilazimike kujenga upya miji ya Japan na Korea Kusini, hoja hizo hazina ukweli wowote, unaweza kutueleza USA ilipovamia na kuikalia Iraq baada ya kuharibu miji yake muhimu kwa mabom,je, walichukua hatua gani ya kujenga upya miji ya Iraq, mbona majengo yote yaliyo haribiwa na ndege za USA yamebaki magofu mpaka leo? Watu wangapi wanajua kwamba vita ya Iraq iligharimiwa kwa kiasi kikubwa na Saudi Arabia, leo hii ndiyo useme USA inaweza kugharimia ujenzi wa miji ya Korea na Japan ikiharibiwa kwenye vita?

Mwisho, binafsi bado na-insist kwamba USA hana DNA ya kujali Mataifa mengine, anacho sita kuishambulia Korea Kasikazini kinatokana na kutojiamini i.e hawajui vita hii inaweza kuchukua mkondo gani na ni nani yupo nyuma ya Kim wanajua ujeuri wa Kim si bure - na cha zaidi wanajua Korea Kasikazini si Iraq, Libya au Afghanistani in other words Kim's Army is not a walkover, USA hisipo kuwa makini wanaweza kutolewa kamasi na Kim kuliko yaliyo wapata huko VietNam.
 
Nimewafatilia vzr na nikawaelewa unajua haya mambo si rahisi kama yanavyo onekana hawa jamaa walisha wahi kupigana na malekani hapo nyuma au zamani kipindi hcho marekani anatumia mwanvuli wa umoja wa mataifa. Anaweza kuishambulia N. K kisha akajikuta anapambana na china pamoja na urusi kama ilivyokuwa kipnd cha nyuma marekani wakishirikiana na south korea walipambana hadi kuuteka mji wa pyoung yean N. K kisha china akaingilia kati na kuvitwanga vibaya vikosi vya marekan na korea ya kusini wakafanikiwa kuuteka tena au kuuludisha mji wao wa pyong yean na wakati huo mrusi alisimama ktk kuilinda anga ya N. K ktk uwanja wa mapambano. mimi nasema iv asije akajidanganya hata sku moja marekani ata angamiaa huku akijiona na kujmuta maana saiv wamemtegeshea tu! Atapigwa vpgo totaut tofaut akiwa gizani na akiwasha taa anamuona ni mmoja.
 
Unatakiwa kujiuliza kat ya us na nk ikitokea vita nan atapata hasara zaid na sio kushinda wala kushindwa.
Na sio kujidanganya na habari zinazo toa sifa zakutisha za upande moja.
Hapo kuna trade off kubwa sana kwa us, kisiasa, uchumi hata kiusalama.
Nk yeye kama mgonjwa wa ukimwi anajua atakufa muda wowote na mazingira magum aliyowekewa na dunia, na kama dunia imeshikiriwa na mareken kwa kuifanya pesa yake iwe ndio pesa ya dunia kitu ambacho china na mataifa mengine yenye nguvu kama russia na nchi baadhi za ulaya azipendezwi na jambo hilo. Ili Nk ipate nafuu lazima amwangushe marekan kiuchumi na ndio kitu anacho tafuta.
Pia ukiangalia geographia ya NK imezungukwa na nchi ambazo marekan akisababisha madhara kwa kutumia mabom ya maangamizi dhid ya NK na yakaleta madhara kwa nchi hizo ni hatar kwake
Ingekuwa NK imejitenga kama Australia US angeweza fanya hivyo
Ila Nk aogop lolote.
Kwa hali hiyo US lazima awe mwenye nidhamu zaid
Sababu iliyo mfanya awe super power ndio sababu itakayo mdondosha na analijua hilo vema kuliko sis tujuavyo
Ni kwer lkn hakuna mtu anae penda kuwa nyuma ya mtu, na hao china na urusi wanaweza wakamnafikia marekani kwakuonesha kama vile wanamuogopa na kumuunga mkono kisha wakawa wanamsapoti. Kwa siri na kumchochea korea kaskazn ili ajichanganye wamdondoshe marekani ndo moja kati mbinu za kijeshi.
 
hapo mgomvi sio mkorea ila marekani wanamuogopa na kutaka kumzuia huyo mkorea aache kutengeza nyuklia maana marekani wanataka wao ndio wawe juu siku zote wacha mkorea aonyeshe uwezo
Siyo kweli, in nchi ngapi zina nuclear na US hahangaiki nazo? Mfano India, Pakistan, Israel nk.
 
IMG_1487.JPG
ufanye mpango ulale umeze pirton 4 mana saa 8:25 hii tuwache mapopo[/QUOTE
Karibu!
 
Back
Top Bottom