ah kwahil sidhan kama rais wetu atafanikiwa kwa asilimia mia maana kwa shule hiz za kata tushen zinasaida watu kwa kiwango kikubwa katika swal la ufaulu
Mm n muhitim wa chuo cha veta tang nina level 3 ya MOTOR VEHICLE MECHANICS na nina division 4 kwa masomo ya phys,chem biol,civs islamc knowledg Je nawez kujiung ja fan ya mechanical engineer
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.