Lisemwalo lipo, kama halipo linakuja.
Hats miaka ya nyuma waliosema elimu ya Tanzania inashuka walizimewa sana na kupuuzwa had I miaka ya hivi karibuni wabishi haohao walip anza anza kushuhudia baadhi ya wenye madarasa wakilishika gazeti juu chini.
Matokeo yake ikawa kila mheshimiwa...
Tatizo sio kununua wapinzani bali tatizo ni kuwa-maintain huku ulikowaleta, maana ukibanu tu mkono watachurupuka na kurudi ulikowatowa wakajiunge na waliochukuwa nafasi zao ulipowatoa. Ulilielewa hili?
Una maana wakubwa serikalini nao wawe kama mama lishe ambao wakipika wanaogopa kuharibu kwa sababu wapikacho wanauza na wao kula hichohicho na famlia zao.Mmh, all animals are equal, but some animals are more equal than others.
Pole,ila ujuwe kila nchi iliyokuwa koloni, na hasa Afrika, INA tatizo la wananchi wake kupenda kujipongeza kwanza kabla ya kutekeleza wajibu wake. Matokeo yake katika kipindi cha kujipongeza mali ya umma in spores na mpotezaji wa mali hiyo anapokuja zinduka anachoanza kupigania ni kupoteza...
Huwezi kufanya ufisadi kama hujaelimaka, maana popote pale duniani ufisadi ni directly proportional to the education of the fisadi. Uelewe tu kwamba athari za ufisadi wa sehemu husika zinategemea elimu ya wananchi waliopo sehemu husika,ambapo hali hii huwa indirectly proportional.
Ndio maana...
Hasira za Nini ? Kuna haja gani kuficha majina ? Sisi-M tuliruhusu mfumo wa vyama vingi ili kuuthibitishia ulimwengu kuwa inji yetu ni kiziwi wa demokuurashia. Kwa hiya majimbo mengi injimaamushi ni kuyaweka chini ya upinzani ni kuonyesha kwa vitendo kuwa tunaheshimu maamushi ya watawala wetu...
Shukran kwa kulianzisha. Bila shaka tutasikia mengi kutoka kwa wanachama na wapenzi wa mageuzi kuhusu ukimya huu ndipo tutambuwe lengo la mwanasiasa huyu kuwapo CHADEMA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.