Recent content by Ramadhani Juma Abdallah

  1. R

    Mbunge Joseph Mbilinyi (Sugu) anena haya baada ya kuyaona alipokuwa gerezani

    Kule ni chuo cha mafunzo alikoroge tena kirago chake bado kipo
  2. R

    Ushauri: Nimejenga nyumba lakini kabla haijaisha nikafukuzwa kazi

    Kauze upate mtaji acha maisha ya kutegemea binadamu jitegemee kwanza hiyo siyo nyumba ni kiwanja au tuite pagare sijawahi kuajiriwa sitegemei kuajiriawa nimejiajiri nakushauri ujiajiri
  3. R

    Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

    Ulaaniwe tena ulaaniwe mara1000 kwa ulichomfanyia huyo mtoto wa mwanamke mwenziyo kama hii hadithi ni ya kweli
  4. R

    Raisi Magufuli amegusa ,,wanufaika" sasa moto kuwaka!

    Umeandika kama bata tulia ulete habari iliyoshiba hii haijajitosheleza
  5. R

    Hivi maiti ni lazima kumvalisha sanda?

    Kwani wewe nilazima uvae Nguo? tembea uchi tukupeleke mirembe
  6. R

    Mikopo ya benki yaacha vilio

    Ngoja niwahi siti ya mbele mkopo saa zingine ni bora uuze mwenyewe mali yako
  7. R

    Yahusu kufuta kauli

    Kwa mtazamo wangu kama hajakanusha vile maana nusu ni wapumbavu na nusu si wapumbavu nikama kasisitiza tu
  8. R

    Bayern, Liverpool, Madrid na Roma kukipiga nusu fainali ya UEFA, nani ana nafasi kubwa kuchukua Ubingwa?

    Wewe mipira unahadithiwa hata hauanglii krosi iliyo zaa penalti ulipiga wewe nini
  9. R

    Ikulu: Rais Magufuli azindua taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete

    Ungekuwa haujajificha nyuma ya keyboard tungejua wewe pia ni waovyo au wamaana jiheshimu acha kushambulia wazee wetu
  10. R

    Naiona Real Madrid ikibeba Uefa Champions League 2018

    Casemiro huyo jamaa ni mchezaji wa sayari nyingine aise
Back
Top Bottom