Brother kk ww oa huyo rafik yako tamaa za kimwil zmemwingia kutokana kuona huyo mwanamke yupo kwako hana mapenz ya dhat coz usiyawaze ya huyo mchepuko wake ww jaribu kuangalia mapenz yake kwako na familia yako khs kwenda kwa waganga ww ucjar Mtangulize Mungu utapata ulinz kutoka kwake hana...
Aswaaaaa yaaan hapo sawa coz mm aliniahid kua hawez kunisalit sababu kua mbal nae lkn mwisho wa cku aliniacha na kuanza uhusiano na mtu mwngne iliniuma lkn ilinibid nikaze buti kutafuta maisha wasichana sio kabisa mkuu
Ni kwel malez yanachangia lkn na nyie watoto wa kike unamkuta mtu mchafu kuanzia yy mpk chumba chake bt kama umempenda from inner part of ur heart una bud kumuelekeza ili kufanya kua couple inayofanana ingawa kumfundisha mtu mzima kaz bac unatakiwa utumie weled wote uliopewa na Wazaz pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.