Dar es Salaam — The precision of trading processes and standards at the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) Plc has attracted the attention of international observers, granting the 23-year-old bourse a full membership of the World Federation of Exchanges (WFE).
Established 58 years ago, the...
Hujanijibu swali na huna uhakika kama sifuatilii ama nafuatilia current affairs. Nahisi ungeziweka wazi hizo sheria kwa manufaa ya wote ili kuruhusu mjadala unaoeleweka.
Mimi sifahamu sana sheria .... Demokrasia ni sawa lakini lazima iwe na mipaka natamani kujua ni sheria ipi ambayo imevunjwa na raisi kinyume na katiba ?
As Tanzania continues implementing its industrial push, President John Pombe Magufuli pledges more democracy in government. He also promises that private sector interests in both Tanzania and the international community will have increased opportunities to invest in the East African nation...
Hayo yalibainishwa jana na Waziri wa Wizara hiyo, Ummy Mwalimu, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika kikao cha mwaka cha wadau wa sekta ya afya kujadili vipaumbele vya utekelezaji kwa Mwaka wa Fedha 2019/20.
"Na hivi vipaumbele ndivyo ambavyo tutavifanyia kazi kama kuna mtu...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezindua huduma za viza na vibali vya ukaazi vya kielektroniki na amewataka watu wote watakaopewa vibali hivyo kutii sheria kwa kufanya shughuli ambazo wameelekezwa kwa mujibu wa vibali vyao na si vinginevyo.
Amesema utoaji wa huduma hizo ni miongoni mwa jitihada za...
Kwa imani zetu tofauti tofauti hili swala sio jepesi hivyo kulitambulisha kwa jamii . Wengine watakwambia haya ni mapenzi ya mungu yanatakiwa yaachwe yatimie yenyewe....
"26Nov 2018
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
WFP kununua shehena mahindi nchini
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), limetangaza neema nchini kwa kusema lipo tayari kununua tani za mahindi 150,000.
Naibu Waziri wa Kilimo, Innocent Bashungwa akijadiliana na mwakilishi...
Ndio nasema bora hata mtu akifa the remaining balance ya hiyo percent wapewe familia yangu. Maana kama utanipa 25% kumbuka inayobakia ambayo nimechangia ni 25% bado kuna 50% ya mwajiri sasa si bora kinachobakia kwenye 25% wapewe familia yangu. Mfuko ubakie na 50% ya mwajiri.
Hiii Reli ya kisasa mkombozi mkubwa sana kwa taifa letu . Itapunguza matumizi ya maroli ambayo ndiyo chanzo kikubwa cha uharibifu wa barabara zetu. Itapunguza muda wa usafirishaji wa bidhaa, mali ghafi na mizigo mbali mbali na kukuza uchumi wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.