Recent content by ramad

  1. R

    Halima Mdee live on Star tv

    :wave:hatujui wacha 2cbr
  2. R

    Bomu lalipuka kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha, watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha!

    Siasa na ushetani vinaendana sana hii ni michezo ya wanasisa mara makanisa kuchomwa mara kupiga mabomu kanisani mara kupiga mabomu mikutanoni hii ni michezo ya wanasiasa watanzania tuwe makini hakuna chama cha uzalendo kwa sasa hawa wote ni wa2 na tamaa zao
  3. R

    Lowasa atenda makubwa "walimu saccos"kilimanjaro.

    Lowasa ni mzuri ktk kutenda anatenda kila jambo kwa ukamilifu akisema atafanya implementation kama amenuia kuiba ataiba tu kama amepanga kufanya jambo la maendeleo atafanya kama alivyofanya shinyanga kuwaletea maji ki ukweli ni kiongoz mzuri lkn ninawaswas naye kwanini atumie pesa nyingi kiasi...
  4. R

    Kwanini CHADEMA wanashabikia muungano uvunjike?

    Si chadema si ccm wala chama chochote cha siasa kitaleta maendeleo kwa hvi karibun tanzania kila mtu wazo lake achote fedha akale na wanae nyumbani ccm walaji wanaeleweka ila chadema bado hawaeleweki na inaonesha wana njaa kweli siasa ya afrika bwana acha tu mara uislamu mara ukristo tunahitj...
  5. R

    Kinana amburuza Msigwa kortini

    Hiyo ndo siasa mara nani amefanya hv nani amefanya vile haya bana yetu macho
Back
Top Bottom