Lowasa atenda makubwa "walimu saccos"kilimanjaro.

Walimu mkikubali kudanganyika
hivyo ili mtoe kura mtaendelea kubaki na madeni yenu na kuishi ktk
mazingira magumu chini ya ccm, sasa ni wakati wa kujua hitimisho la
madai yenu na si kudanganywa na hela ambazo zitawaweka ktk hali mbaya na
ngumu ktk miaka 5 na wakatimwingine hadi miaka 10
Hamna lolote wala chochote hamna chadema wala cuf wala ccm wote ni wezi tu na wanataka ikulu kwa nguvu wote,,mpaka sasa bora hata katiba ingekubali rais mstaafu anaweza kurudi madarakan hata jembe mkapa angerudishwa tu,that is the only presdent we can choose,hapa jf naona kwa mtazamo wangu wengi washabiki wa siasa na wachache waelewa tu
 
Mbunge wa Monduli , Edward
Lowasa ,azidi kujinyakulia sifa za kutosha ikiwa ni pamoja na mtaji wa
kisiasa Baada ya kuwaachia Walimu Mamillion ya shlingi kwnye Mkutano
wa Walimu ulifAnyika Leo kwnye viwaanja vya Ushirika .Yeye binafsi katoa
Tsh 450milln, na Marafiki zake aliofuatana nao kukamilisha salio
lilobaki kuleta idadi kamili ya Tsh billion 1 na million mia mbili .
Hizi ni kura za kutosha, ukizingatia idadi kubwa ya walimu waliokuwepo
kwnye viwanja vya ushirika .

Ni vizuri awasaidie hata walimu wapunguze machungu hata ziro zipungue
 
Atazirudisha hizo akishapewa kura na kuingia Ikulu. Hiyo ni rushwa; hatuwezi kuendelea kwa kugawiwa hela na matajiri, tutaendelea kwa viongozi wetu kututengeza mazingira mazuri ya kutengeza hela bila kuibiwa.
 
walimu hutumika kama ule mpira wa kwenye vipakiti vitatu,baada ya kustarehe unatupa mpira huo kwenye taka tena unatafuta cha kushikia,Low... Amekuwepo kwenye system aeleze amewafanyia nin walimu katika kupigania haki zao.Akishapata atawambia mpo wengi na anayeona mshahara mdogo aache kazi.
 
Kutuza fedha na suala la uraisi ni vitu viwili tofauti,tena itatufanya tukuogope zaidi ya ukoma

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Fedha za kutoa hivo kazipata wapi?ikulu kuna biashara gani ya kurudisha fedha zote hizo?-hapa labda atawapata wajinga wenzake!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Amewaona waalimu kuwa ndiyo maskini wa kununua kwa bei chee. Je umaskini wao umeletwa na nani? Yeye hizo hela amezipata wapi? Hata CCM na viongozi wake wahongeje mara hii hawatapata pa kuchomokea. Pesa itaenda na nchi itabadiliaka tu. Watanzania kwa sasa tumeshajua hatuna mfadhili hapa. Hii ni mishahara ya waalimu, madini yetu, ges yetu, mahospitali yetu, elimu yetu, mishahara ya madakari wetu, na watumishi wengine wa umma ilivyofanya duni ili kutunisha mifuko ya mafisadi. Hata akizitoa zote hatakuwa raisi ya Tanzania. Kama haamini aniulize.
 
Jambazi mkubwa huyo, fisadi mkubwa! Kuna watu wenye ukoma Tabora wanahangaika unga na mablanketi hawaoni? Wagonjwa wanaoomba misaada RFA na wanaoumwa ugonjwa wa moyo hawaoni? MNAFIKI MKUBWA, FISADI LILILOKUBUHU, mbaya kuliko kaburi huyo!
Nahisi unachuki binafsi na Huyo mzee.Pengine nikwasababu ya umaskini wako"SIKUHUKUMU KAMA UNAVYOHUKUMU WEWE" Ila nikuambie tu ukweli wewe unahila binafsi na Lowassa ataendelea kupeta licha ya chuki zako
 
havzya jambazi mkubwa huyo, fisadi mkubwa! Kuna watu wenye ukoma tabora wanahangaika unga na mablanketi hawaoni? Wagonjwa wanaoomba misaada rfa na wanaoumwa ugonjwa wa moyo hawaoni? Mnafiki mkubwa, fisadi lililokubuhu, mbaya kuliko kaburi huyo!

wewe mpuuuzi kweli ukoma si wa kwenu uko tabora na kna sta lowasa anawekeza kwenye elimu kwa ajili ya kizazi cha leo na kesho ukoma yeye ni serkali si mumwambie mbunge wenu sta mpuuz kweli wewe ....kaa vzuri iingie lowasa ni jembe ma presdent 2015 is lowasa ngumu kumesa ila kaa vzur tukumeseshe....shda ni zako
 
KIONA LEADERSHIP IS AN ACTION, NOT A POSITION


UMEONA HEEEEEEEE...LOWASA NI MZEE WA MAAMUZ MAGUMU SI MIDIMU NA WANAOSEMA MAGUFULI KANICHANGIA MILION TANO BDAYE MAGUFULI ANASEMA SMTAMBUI STA NA MUUNGANO WAO....STRESS ZTAWAUA MIDIMU NA KNA NAPE MWAKA HUU SISI MBELE KWA MBELE
:nod:

 
Mbunge wa Monduli , Edward Lowasa ,azidi kujinyakulia sifa za kutosha ikiwa ni pamoja na mtaji wa kisiasa Baada ya kuwaachia Walimu Mamillion ya shlingi kwnye Mkutano wa Walimu ulifAnyika Leo kwnye viwaanja vya Ushirika .Yeye binafsi katoa Tsh 450milln, na Marafiki zake aliofuatana nao kukamilisha salio lilobaki kuleta idadi kamili ya Tsh billion 1 na million mia mbili . Hizi ni kura za kutosha, ukizingatia idadi kubwa ya walimu waliokuwepo kwnye viwanja vya ushirika .

Kwa hiyo huyo jamaa ako akitoa tu pesa tayari ameishashinda urais ingekuwa simple hvo duh matajiri wengi wangeingia kugombea urais. Ngoja arudishe kile alichokwiba pale AICC, RICHMOND, EPA na kwingineko kabla muda haujafika kuchukua chetu.
 
Mbunge wa Monduli , Edward Lowasa ,azidi kujinyakulia sifa za kutosha ikiwa ni pamoja na mtaji wa kisiasa Baada ya kuwaachia Walimu Mamillion ya shlingi kwnye Mkutano wa Walimu ulifAnyika Leo kwnye viwaanja vya Ushirika .Yeye binafsi katoa Tsh 450milln, na Marafiki zake aliofuatana nao kukamilisha salio lilobaki kuleta idadi kamili ya Tsh billion 1 na million mia mbili . Hizi ni kura za kutosha, ukizingatia idadi kubwa ya walimu waliokuwepo kwnye viwanja vya ushirika .

Hujataka kuiona hii kama ni rushwa katika sura nyingine na unaisifia!!!!
 
Jambazi mkubwa huyo, fisadi mkubwa! Kuna watu wenye ukoma Tabora wanahangaika unga na mablanketi hawaoni? Wagonjwa wanaoomba misaada RFA na wanaoumwa ugonjwa wa moyo hawaoni? MNAFIKI MKUBWA, FISADI LILILOKUBUHU, mbaya kuliko kaburi huyo!

Kama unamwita fisadi kwa sababu ya Richmond scandal humtendei haki. Mbona alisafishwa tena na huyo huyo aliyeandaa ripoti ya Ricmond (Dr. Mwakyembe)? Soma hii...

MWAKYEMBEALIMSAFISHA LOWASSA UFISADI KWENYE RICHMOND
Tarehe 15 Februari 2008, kwa mujibu wataarifa rasmi za majadiliano Bungeni (Hansard), Dr. Harrison Mwakyembe, wakatiakihitimisha hoja ya Kamati Teule iliyochunguza suala la Richmond, Dr. HarrisonMwakyembe ilimsafisha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kwambahakuwajibika na kujiuzulu kutokana na ufisadi wake katika sakata hilo, balialiwajibika kisiasa kwa makosa ya watu waliokuwa chini yake. alisema:
“Mheshimiwa Spika, ninaombanianze na utangulizi mfupi na rahisi; uwajibikaji kwa viongozi waandamizikatika nchi zinazolinda na kuenzi demokrasia kama vile Tanzania, una surambili; sura ya kwanza, kiongozi anawajibika kwa makosa yake mwenyewe yakiutendaji. Kiongozi anafanya maamuzimabaya, pengine kwa kishawishi cha pesa, maamuzi yake yakaleta hasara aukiongozi ameshindwa kutoa ushauri mzuri kama kiongozi, kwa kukiuka kanuni,kukiuka taratibu na kadhalika, matatizo yakatokea, anawajibika. Sasa sura hii ya uwajibikaji, inahusishauvunjwaji wa maadili, kanuni, sheria, miiko ya uongozi na kadhalika. Chini ya uwajibikaji wa aina hii, kiongozianaweza akashitakiwa, akaadhibiwa mbali na kuachia ngazi. Nitarejea kwenye sura hii hivi punde. Suala la msingi hapa ni kuwa, kuna element yaadhabu katika sura hii ya kwanza.
“Sura ya pili; kiongozianawajibika kwa makosa ambayo si yake moja kwa moja ila yaliyofanywa nawatendaji chini yake. Kitendo chakuwajibika kwa aina hii, kunaijengea Serikali au taasisi heshima na imani yapekee katika jamii, kunatoa picha ya kwamba, uongozi unajali, unalielewa tatizokwa kubeba lawama wao wenyewe. (Makofi)
“Mheshimiwa Spika, katika sualahili la Richmond, viongozi wa Wizara ya Nishati na Madini na Waziri Mkuu,walikuwa wanakabiliwa na uwajibikaji wa aina hizo mbili. Kwanza, uwajibikaji unaotokana na makosa yaviongozi wenyewe katika maamuzi yao, maelekezo yao, maagizo yao nakadhalika. Mawaziri wote wawili waNishati na Madini; aliyetangulia na aliyefuatia baadaye, Katibu Mkuu naKamishina wa Nishati, wote tukawaona wana makosa ya moja kwa moja,waliyoyafanya wao kwa njia moja au nyingine. Kwa kuwa uwajibikaji wa aina hii, unatokana na ukuikwaji wa kanuni,taratibu, maadili, sheria na kadhalika, Kamati Teule ikahakikisha inawahojiwote ili kusikia their side of the story kabla ya kutoa pendekezo lakuwawajibisha kwa makosa waliyofanya. Ndiyo maana baada ya kuwahoji, tumependekeza hatua za kuchukuliwa dhidiyao.
“Hali haikuwa hivyo kwa WaziriMkuu; Kamati teule ilikuwa na ushahidi wa mawasiliano ya karibu kati ya WaziriMkuu na Uongozi wa Wizara. Ushahidi huohaukutosha kwa uwajibikaji wa sura ile ya kwanza wa kiongozi kukutwa na makosaya moja kwa moja, aliyoyafanya yeye mwenyewe kwa njia moja au nyingine, lakiniushahidi huo ulitosha kwa uwajibikaji wa sura ya pili, ambao hauhitajimahojiano, kusikilizwa wala utetezi. Unawajibika kwa makosa ya watendaji walio chini yako. Hiyo ndiyo demokrasia. Wabunge wengi wametoa mifano mingi hapa,ukiwemo wa Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi, alipokuwa waziri wa Mambo ya Ndani; aliwajibikakwa makosa ya askari huko Shinyanga wakati yeye alikuwa Dar es Salaam;hatukumsikia akidai apewe nafasi ya kusikilizwa na hata kama angepewa, badoangewajibika yeye mwenyewe. (Makofi)
“Mheshimiwa Spika, Kamati Teuleinatamka ukurasa wa 37 wa taarifa yake kuwa, ninanukuu ‘Ushiriki huu wa karibuwa Waziri Mkuu katika kila hatua ya zabuni ya umeme wa dharura si lazima uweushahidi wa kwamba, kiongozi huyo wa Kitaifa alihusika katika kuibebaRichmond. Unaweza pia ukawa ushahidi wastyle yake ya kawaida kabisa ya Waziri Mkuu katika kufuatilia masuala yote yaKitaifa kwa karibu sana, tukizingatia kwamba, nchi wakati huo ilikuwa katikakipindi kigumu sana cha ukosefu wa umeme…..”
Inavyoonekana baadhi ya watu ama kwamakusudi wamekuwa wakiwapotosha watanzania. Watu wanaomwita Lowassa fisadiwanafanya hivyo kutokana zaidi na suala la Richmond. Lakini Mwakyembe akimsafisha Lowassa kwambamakosa yake hayakuangukia kwenye sura ya kwanza ya uwajibika, ya kiongozikuwajibika kwa makosa yake mwenyewe. Sura hii ndiyo unayoweza hata kumwita mtu fisadi. Lakini Lowassa aliwajibika kwa makosa ya watendajiwalio chini yake kama alivyoeleza vizuri Dr. Mwakyembe. Anayewajibika kwa aina hii ya pili huwezikumwita fisadi. Akisifu aina hii yaEdward Lowassa kuwajibika, Dr. Mwakyembe anasema, “…Kitendocha kuwajibika kwa aina hii, kunaijengea Serikali au taasisi heshima na imaniya pekee katika jamii, kunatoa picha ya kwamba, uongozi unajali, unalielewatatizo kwa kubeba lawama wao wenyewe”. (Makofi). Mwakyembe anakwenda mbali na kuhusishauwajibikaji huu wa Lowassa na ule wa Mzee Ali Hassan Mwinyi.


 
Baada ya kutuibia na kutosheka kaamua kuwapa watu mabaki akijua hatoteteleka kiuchumi. Hii ni sawa na kuua mtu halafu ukagharimia mazishi
 
Lowasa ni mzuri ktk kutenda anatenda kila jambo kwa ukamilifu akisema atafanya implementation kama amenuia kuiba ataiba tu kama amepanga kufanya jambo la maendeleo atafanya kama alivyofanya shinyanga kuwaletea maji ki ukweli ni kiongoz mzuri lkn ninawaswas naye kwanini atumie pesa nyingi kiasi hicho kuitafta ikulu mara tunaskia wajumbe wa neck asilimia kubwa watu wake amewaweka kwa pesa nyingi kweli tanzania tumuachie mungu tu ndie muamuz wa mechi hii tutaibiwa wee mwisho tutauzwa had sisi ee mungu sjui mkataba wa kuniuza mimi kwa wazungu ni shilingi ngapi?
 
Back
Top Bottom