Sizitaki mbichi hizi! Maneno ya mkosaji tu hayo! Kama umeikosa hiyo kapambanie ya level yako, uzuri Mwenyezi Mungu kamjaalia kila mwanaume nafasi ya kupata hata ukikosa unachotaka utapata unachomudu!
Maneno ya mkosaji. Kama wewe umekosa hayo mambo mazuri basi vumilia na shida zako.
Mimi nimeoa mwenye mzigo wa ukweli na sijawahi kujuta, miaka zaidi ya 20 sasa. Kila nikirudi nyumbani jioni baada ya kazi nikimuona tu najipongeza na kumshukuru Mungu.
Nimeishi Ileje kipindi fulani. Watu wa kule huwa wanavuka mto kwa kamba kwenda Malawi kununua mafuta ya taa na kuja kuyauza Ileje. Sababu ya kufanya hivyo ni kwamba mafuta ya taa yanauzwa bei nafuu kule Malawi kuliko Tanzania ingawa yote yanapitia Tanzania kwenda Malawi!
Acha uongo na vihabari vya kuokoteza vijiweni. Ikulu ya Moshi ilikuwa ya wachagga, siyo ya kaskazini.
Hilo eneo unaloita "kaskazini" halijawahi kuungana kwa ajili ya jaombo lolote tangu, siyo kabla ya ukoloni, wakati wa ukoloni na hata baada ya uhuru. Haijawahi kuwepo harakati yoyote...
Kwa mtazamo mwingine, naona kama Rais Mnangagwa amefanya makusudi ili avuruge fikra za wapiga kura huko tukose hiyo nafasi. Hao hao SADC ndio waliomkosesha Odinga nafasi ya uenyekiti wa AU kwa mbinu ya kugawa kura.
Hii salamu wala siyo udini, na kama ina dini basi inafaa kwa dini zote. Tafsiri yake ni kumtakia amani anayesalimiwa. Kwani kuna mtu asiyependa amani? Hata katika Biblia imeandikwa Yesu alipokuwa akiwatokea wafuasi wake aliwasalimu "amani iwe kwenu", ndiyo "assalaam alaykum".
Lakini ukisalimia...
Msisahau kuwa hayati Magufuli alifanya hayohayo, kuhutubia taifa na kutoa misimamo yake ya kazi akiwa madhabahuni. Mara kwa mara alipoenda kusali kanisani, baada ya ibada alikaribishwa kuongea na waumini, na hotuba zake hizo zilirushwa kwenye tv zikaenea nchi nzima.
Kama tunachukizwa na tabia ya...
Kwani cardiology si ndiyo yale masuala ya moyo ambayo Dr Janabi yamemweka kwenye media akawa maarufu? Siku zote nimeamini kuwa Dr Janabi ni cardiologist kama yule mzee wa kihaya aliyekuwaga na hospitali pale Sea View, Prof Lwakatare.
Wasahihishe mambo mawili:
1. Jina la Jamhuri yetu ni United Republic of Tanzania
2. Jina la waziri ni Mahmoud Thabit Kombo
Halafu wataje chanzo cha kukosea (source of error). Je, ni waziri huyo alijitambulisha hivyo? Je, ni waziri huyo aliitambulisha hivyo nchi yake?
Ninachoshangaa zaidi...
Ni kweli wazazi hawahusiki, lakini kuilaumu serikali ni sahihi kwa kuwa tunailipa kodi.
Ukimlipa fundi akurekebishie mlango wako lakini akasepa, hautamlaumu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.