Recent content by rajabumwinyi

  1. rajabumwinyi

    Sheikh wa Dar unapotoka kuingilia yasiyokuhusu! Sakata la CAG hukutakiwa kutia neno...

    Write your reply...hivi alhad nani kampa ushekh wa mkoa??? hivi dar amekosekana shekh mpaka alhad akawe shekh wa mkoa ??? mana Mimi simuelewi kwenye mambo mengi mno alafu anapenda sana kupindisha aya mfano Allah anasema tiini mamlaka za juu za kiislam lkn yeye haoni neno za kiislam lkn...
  2. rajabumwinyi

    Uonevu dhidi ya Waislam UDOM: Msikiti wavunjwa, wafanyakazi wanataaluma 11 wahamishwa

    Write your reply...ibada ni haki ya Msingi kwa kila mwenye dini regardless serikali haina dini lkn haka kamsemo sio sahihi mana kanapotosha watu, ila ni jambo la kheri waislam kuwa Na msikiti mana uislam ni usafi tofauti Na wenzetu popote pale wanaeeza kusali atakama darasani lkn uislam lazima...
  3. rajabumwinyi

    Sheria ya ardhi inasemaje?

    Write your reply...mh nilinunua eneo la kiwanja cha nyumba tangia 2013 nikajenga lakini mwaka huu amejitokeza MTU anadai ni eneo lake hii imekaaje kisheria mana niliuziwa Na MTU Na tuliandikishiana ofisi ya kijiji.
Back
Top Bottom