Recent content by Raja_Makuku

  1. Raja_Makuku

    Wanaume mnawachukulia aje wanawake wa hivi?

    Mi binafsi nina kinyaa sana sijui kama ni hali kawaida au ni maradhi Si sisimkwi na mwanamke ambaye hana u natural kwenye mwili wake
  2. Raja_Makuku

    Wanaume mnawachukulia aje wanawake wa hivi?

    Piko ina dumu kwa mda gani mwilini na wapo wanaotumia pico kwa matumizi ya kama tattoo?
  3. Raja_Makuku

    Naomba msaada wa mawazo au tiba

    Ni kweli ndugu yangu kampuni nilioajiriwa mwisho saa 3 usiku kuendesha gari but ni mimi pekee ndio nimepewa ruhusa ya kubadili kukata masaa ya mcha mchana kuyaongeza usiku na Ilibaki kidogo nipoteze ajira Kwani kabla ya kupewa ruhusa nilifosi kubadilika na likizo yangu ni mwezi wa sita...
  4. Raja_Makuku

    Naomba msaada wa mawazo au tiba

    Sawa ndugu yangu nashukuru kwa wazo na nalifanyia kazi Tupo pa1
  5. Raja_Makuku

    Naomba msaada wa mawazo au tiba

    Mhh kiukweli siwezi sema sina kabisa otherwise niwe mfu Lakn nilionayo ni ya kawaida kawaida
  6. Raja_Makuku

    Naomba msaada wa mawazo au tiba

    Ndugu zangu wana JF nina mambo mengi ila mawili ndio makubwa sana kwangu 1. Sipati usingizi napohitaji kulala Hivi, ukiwa kitandani unahitaji kulala akili yako inatakiwa kuwa focused katika jambo gani ili uupate usingizi? Maana nimejaribu mengi bado nipo palepale. Mimi ni dereva na kutokana na...
  7. Raja_Makuku

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Kwahiyoo niseme ujinga gani nipate like nyingi zaidi
  8. Raja_Makuku

    Utambulisho

    Shukran ndugu tuu pa1 sana
  9. Raja_Makuku

    UGONJWA WA SONONA (DEPRESSION): Usiyoambiwa na jinsi ya kupambana na tatizo hili

    Kuna jambo nimeweka Pm Kaka Maana katika mengi kuna wengi pia
  10. Raja_Makuku

    Utambulisho

    Nimejifunza mengi sana kupitia wana Jf Natumai tutaendelea kujifunza pa1 Ahsante!!
Back
Top Bottom