Sasa ni kama wiki mbili ama tatu,jiji la dar es salaam limezingilwa na madege ya kijeshi,huku yakitoa sauti za kutisha,je kuna tukio gani hasa kwa hivi karibuni,na kama mazoezi mbona kuna mapori mengi huku.
Regency is the best hospital,ila tu inazidiwa na wagonjwa mana inanafasi ndogo sana,na serikali haina msaada wa kitu chochote mana unaposhikwa shikilia lakini wapi
Dah!! naomba mungu wananchi waelewe dhamira nzuri aliyokuwa nayo mh.Mbowe juu ya nchi yetu Tanzania,Hawa JAMAA phd holders ni corrupt na watanzania wawe nao makini sana tena sana,hakika mtu kama LIPUMBA itakuwa ameshaongwa tena pesa nyingi tu.ogopa wapinzania wenye unafiki ,shangaa...
HATIMAYE WAMEISHIWA MUDA HUU NATUMIWA SMS NA CCM KUPITA NAMBA YANGU YA AIRTEL,UJUMBE UNASEMA "mgombea uraisi wa CCM Dr.Magufuli, ahaidi kutatua matatizo ya watanzania kwani anayajua huku Risi Kikwete akisisitiza ushindi ni lazima. http;//simu.tv/Oe1DI6:Youtube ......................"
NASEMA...
Hii ni hali ya kushangaza sana,na pia ni dalili ya serikali yetu kuchoka,nimeamini wapinzani pale Bungeni wanaposema serikali imechoka.
Yaani kituo cha polisi kimegeuzwa kama duka kufunguliwa saa mbili au tatu asubuhi na kufungwa saa kumi na mbili jioni.
Hii ni Dar es salaam, Kama Kamanda Mkuu...
Wewe kama great thinker, naomba leo tujadili swala la vyanzo vya mapato ambavyo serikali yetu aidha imevisahau au haijui kama vinaweza kuza Pato la Taifa, naomba uorodheshe vyanzo vya mapato (kodi) ili tuisaidie Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.