Recent content by Rais wa wakulima

  1. Rais wa wakulima

    Makonda: Ndoa zote ndani ya mkoa wa Dar es Salaam kusajiliwa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  2. Rais wa wakulima

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa January Makamba kuwa Waziri wa Mazingira; yeye asema ameyapokea mabadiliko kwa moyo mweupe

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  3. Rais wa wakulima

    I wish Freeman Mbowe a very happy birthday indeed

    Mwenyezi Mungu amjalie afya njema
  4. Rais wa wakulima

    Maombi ya Msaada kwa wanabodi wote

    Mkuu ni kweli sale inauwanda mpana inategemea na kampuni unayokuwa nayounaifanyia kazi pia kwenye hilo unakiwa unatafuta masoko na kutangaza bidhaa kwa Wateja ambao awajafikiwa na Huduma hyo mkuu na kuhusu swala la mtoto sijasema nisaidiwe kutafuta.
  5. Rais wa wakulima

    Maombi ya Msaada kwa wanabodi wote

    Elimu yangu kidato cha nne, certificate of business administration, uzoefu wa kazi sales and marketing, mkufunzi wa vicoba, naishi Gongo la mboto jiji dar es salaam, nimeoa ila sina mtoto wakuu.
  6. Rais wa wakulima

    Maombi ya Msaada kwa wanabodi wote

    Habari za muda wanabodi wote natumaini ni wazima wa afya njema pole na majukumu ya hapa na pale.bila kupoteza muda kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza, nakuja mbele yenu kuomba msaada wa kimawazo na vitendo ili niweze kufanikiwa. Mimi ni kijana naishi jijini dar es salaam...
  7. Rais wa wakulima

    Suala la Nondo na mpenzi hewa (aliyevishwa kininja) asiyejua mitaa ya Iringa inaonyesha Polisi wanavyobambikiza kesi

    Ushahidi wa kesi inayomkabili mwanafunzi, Abdul Nondo umeendelea kutolewa kwa upande wa Jamhuri kupeleka mashahidi wengine wawili kati ya wa nne. Miongoni mwa mashahidi waliotoa ushahidi jana, ni pamoja na aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Nondo, Veronica Fredy (22) mkazi wa Igunga mkoani...
  8. Rais wa wakulima

    Msaada: Natafuta barua pepe za makampuni haya

    Habari wanabodi natumaini wazima wa afya njema. Kama kichwa habari hapo juu kinavyojieleza, naomba msaada kwa mtu yeyote aliye na Email za haya makampuni naomba anisandie, makampuni ambayo ni (1) TBL. (2) SBL. (3) Coca cola...
  9. Rais wa wakulima

    Kusajili NGO

    NGO yako inausiana na nn mkuu
  10. Rais wa wakulima

    Natafuta kazi.

    Natumaini wazima Wa afya njema wanabodi, kama kichwa cha habari kinavyojielezea hapo juu Mimi ni kijana wa kiume natafuta kazi, Elimu yangu ni ngazi ya cheti cha biashara na utawala ( Certificate of business and administration) pia Nina uzoefu wa kazi mbalimbali kama kuuza kwenye vituo vya...
Back
Top Bottom